Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Means broker hana assess ya chat na yeye ananunua chat but kuna legal authority zinawacontrol ma broker mfano kuna baadhi ya nchi zimeweka sheria kali kuhusu hawa wamba.
Broker hawez tengeneza chat ila anaweza control spread,margin , small manipulation za sl na tp.
Huna unachojua haujaja kujitunza.
Umekuja kubishana
Na hizo authority ndo zinazoshighurika na hayo mambo.
Ingekuwa illegal basi no banks or institutions inge deal nao,
Naangalia ma broker mfano XM,OANDA,FTMO, my fx fund na Mabroker wenye authorization za CANADA na USA even South africa ,maswala ya finance kuna sheria kali mno.
Incase unanipotezea muda

1695022262898.png
 

Attachments

  • 1695022238813.png
    1695022238813.png
    9.3 KB · Views: 10
Sawa ,mzee wa huku saba,
Endelea kusubiria uteuzi .
Forex haiwez kuwa kwa ajir yako,afu una Hasira nayo.
Punguza miamko mzee,tukitrade wote,nani atakuwa chawa??
Ingekuwa rahisi si kila mtu angefanya.
Lazima iwe ngumu ili ukiifahamu heshima iwepo😅😅😛😛😛
 
yaani nyie ndo mnajua sana forex kuliko mabroker

Hahahaha I share my experience,😛😛
Kama ningekuwa mjuaji ningejibu au ningeanza kufundisha watu.
Am good,forex is real but siyo ya kila mtu na ingekuwa rahisi naamini hata ww ungefanya,ur not smart enough,😛😛.
Google,ni mitazamo ya watu.vipo vitabu bingo sana vinavyoelezea kuhusu forex ,una akili finyu unayetafuta knowledge kwenye blogu.
Tafuta vitabu usome,Angalia makala ya banks ,institutions,etc
Hii ni kwaajiri ya watu wenye akili zao ,na asije akakwambia mtu ,ukijua hii dude kuna raha tutani hivi moyoni.
Imagine unalipwa mil. 2 mwenzako anaingia on 2 hours,harafu anaingiza tena kesho.
Mm ni mwajiriwa na mpaka nikumbuke mshahara sijui
Maisha yangu ni forex na kazi nafanya.
 
Hahahaha I share my experience,[emoji14][emoji14]
Kama ningekuwa mjuaji ningejibu au ningeanza kufundisha watu.
Am good,forex is real but siyo ya kila mtu na ingekuwa rahisi naamini hata ww ungefanya,ur not smart enough,[emoji14][emoji14].
Google,ni mitazamo ya watu.vipo vitabu bingo sana vinavyoelezea kuhusu forex ,una akili finyu unayetafuta knowledge kwenye blogu.
Tafuta vitabu usome,Angalia makala ya banks ,institutions,etc
Hii ni kwaajiri ya watu wenye akili zao ,na asije akakwambia mtu ,ukijua hii dude kuna raha tutani hivi moyoni.
Imagine unalipwa mil. 2 mwenzako anaingia on 2 hours,harafu anaingiza tena kesho.
Mm ni mwajiriwa na mpaka nikumbuke mshahara sijui
Maisha yangu ni forex na kazi nafanya.
Achana na huyo mkuu
 
Hahahaha I share my experience,😛😛
Kama ningekuwa mjuaji ningejibu au ningeanza kufundisha watu.
Am good,forex is real but siyo ya kila mtu na ingekuwa rahisi naamini hata ww ungefanya,ur not smart enough,😛😛.
Google,ni mitazamo ya watu.vipo vitabu bingo sana vinavyoelezea kuhusu forex ,una akili finyu unayetafuta knowledge kwenye blogu.
Tafuta vitabu usome,Angalia makala ya banks ,institutions,etc
Hii ni kwaajiri ya watu wenye akili zao ,na asije akakwambia mtu ,ukijua hii dude kuna raha tutani hivi moyoni.
Imagine unalipwa mil. 2 mwenzako anaingia on 2 hours,harafu anaingiza tena kesho.
Mm ni mwajiriwa na mpaka nikumbuke mshahara sijui
Maisha yangu ni forex na kazi nafanya.

😂 😂 ebu rudia kusoma upuuzi ulioandika unaingiza mamilioni na ni mwajiriwa! basi kama ulikua hujui ndo utulie uelekezwe jinsi mambo yanaenda,

= ok tuseme google ni mitazamo ya watu what about this? GPT 4!
1695041939411.png


1695042021017.png

- ama na huyu anaongea pumba?
 
Hahahaha I share my experience,😛😛
Kama ningekuwa mjuaji ningejibu au ningeanza kufundisha watu.
Am good,forex is real but siyo ya kila mtu na ingekuwa rahisi naamini hata ww ungefanya,ur not smart enough,😛😛.
Google,ni mitazamo ya watu.vipo vitabu bingo sana vinavyoelezea kuhusu forex ,una akili finyu unayetafuta knowledge kwenye blogu.
Tafuta vitabu usome,Angalia makala ya banks ,institutions,etc
Hii ni kwaajiri ya watu wenye akili zao ,na asije akakwambia mtu ,ukijua hii dude kuna raha tutani hivi moyoni.
Imagine unalipwa mil. 2 mwenzako anaingia on 2 hours,harafu anaingiza tena kesho.
Mm ni mwajiriwa na mpaka nikumbuke mshahara sijui
Maisha yangu ni forex na kazi nafanya.

we unadhan izo taarifa nmetoa kwenye vitabu kabla? 😂😂😂 najua the real FX market so tuliza tu uache ujuaji, ukiskia mtu anasema vijana mnabet mue waelewa usione kama tunahate wala hatuna shida na nyie we are just keeping the records straight kwamba mnabet wala amna mwenye shida na loses zenu za forex 😂

- na pia inaonekana umeanza forex juzi juzi for good SAKE achana nayo u cant win the forex market kwa sababu wanaofanya FOREX wenyewe lengo lao sio faida na hakuna namna utaelewa which movement goes unless una cheo kikubwa sehem, wewe komaa na ajira kwa sasa

  • hakuna mtu anaingiza mil 2 days consecutive na hakuna anaeishi kwa forex peke yake unless anauza COURSES
  • usijichoshe kuelezea sana kwa sababu hata ulikua hujui kwamba hamtrade the real FX market, to far elimu yangu ya forex usipoteze mda kwa sababu umeaminishwa uongo
kwa kumaizia hii itakusaidia:
na hii imeandikwa apa apa JF: The truth for youths about Forex business

wewe na huyo ndugu yako tickmill anaesubiri kutuma links apate commision: next time ukiongea uwe na takwimu sahihi usije aibika tena

REMEMBER: Use funds you can afford to loose NOT funds to make you rich
 
Forex na betting hazina tofauti kubwa katika kuleta matokeo. Ni kula na kuliwa pesa tu.
 
Hahahaha I share my experience,😛😛
Kama ningekuwa mjuaji ningejibu au ningeanza kufundisha watu.
Am good,forex is real but siyo ya kila mtu na ingekuwa rahisi naamini hata ww ungefanya,ur not smart enough,😛😛.
Google,ni mitazamo ya watu.vipo vitabu bingo sana vinavyoelezea kuhusu forex ,una akili finyu unayetafuta knowledge kwenye blogu.
Tafuta vitabu usome,Angalia makala ya banks ,institutions,etc
Hii ni kwaajiri ya watu wenye akili zao ,na asije akakwambia mtu ,ukijua hii dude kuna raha tutani hivi moyoni.
Imagine unalipwa mil. 2 mwenzako anaingia on 2 hours,harafu anaingiza tena kesho.
Mm ni mwajiriwa na mpaka nikumbuke mshahara sijui
Maisha yangu ni forex na kazi nafanya.
Mkuu habari yako, ni news zipi za kuconsider kutrade gold na zipi sio za kuconsider?

Ili nianze kuzifatilia kwa umakini zaidi?
 
Mkuu habari yako, ni news zipi za kuconsider kutrade gold na zipi sio za kuconsider?

Ili nianze kuzifatilia kwa umakini zaidi?
Oky labda nikushauri jambo, most hakuna nyuzi ya kusema ni very important au nyingine siyo important,lakini kuna nyuzi zenye high liquidy mfano NFP,interest rate,employment and un employments but most kwa Us news , especially kama unatrade Gold ,fatilia kila nyuzi,
Siyo nzuri ni nzuri kwa jina hapana,kwa mfano kama ulifatilia interest rate ya mwezi uliyopita ilikuwa na impact hasi.

Kitu pekee ninachoweza kukushauri kuwa news zinaochochea kumaliza movements au kuanza movements mpya ,pia kuanzisha new movements(new price action)
So fatilia tabia za news on 1 hrs to 3 min b4 news ,ili kujua tabia.
Tambua tabia ,jifunze tabia zina tabia harafu achana na unatrade news gani?
Bali trade impacts ya news kwa Muda husika.
Kumbuka news inaweza badilisha tabia ya soko zima kwa hiyo dk 15 kabla ya news hadi 3 tatu ni muhimu, dk 2 -15 baada ya news hizi ni dakika muhimu pia .
Nachoweza kukwambia news zina tabia zona tabia ,jifunze tabia zake,haitokuwa rahisi but it's possible
 
Oky labda nikushauri jambo, most hakuna nyuzi ya kusema ni very important au nyingine siyo important,lakini kuna nyuzi zenye high liquidy mfano NFP,interest rate,employment and un employments but most kwa Us news , especially kama unatrade Gold ,fatilia kila nyuzi,
Siyo nzuri ni nzuri kwa jina hapana,kwa mfano kama ulifatilia interest rate ya mwezi uliyopita ilikuwa na impact hasi.

Kitu pekee ninachoweza kukushauri kuwa news zinaochochea kumaliza movements au kuanza movements mpya ,pia kuanzisha new movements(new price action)
So fatilia tabia za news on 1 hrs to 3 min b4 news ,ili kujua tabia.
Tambua tabia ,jifunze tabia zina tabia harafu achana na unatrade news gani?
Bali trade impacts ya news kwa Muda husika.
Kumbuka news inaweza badilisha tabia ya soko zima kwa hiyo dk 15 kabla ya news hadi 3 tatu ni muhimu, dk 2 -15 baada ya news hizi ni dakika muhimu pia .
Nachoweza kukwambia news zina tabia zona tabia ,jifunze tabia zake,haitokuwa rahisi but it's possible
Asante mkuu, noted.
 

😂 😂 ebu rudia kusoma upuuzi ulioandika unaingiza mamilioni na ni mwajiriwa! basi kama ulikua hujui ndo utulie uelekezwe jinsi mambo yanaenda,

= ok tuseme google ni mitazamo ya watu what about this? GPT 4!
View attachment 2753630

View attachment 2753634
- ama na huyu anaongea pumba?
🚮 Kawe chawa ,hizi harakati ni juu ya uwezo wako.
Wenzako wanafikiria kwenda mwezini,kupandikiza Maini kutoka mtu kwenda mtu, kufanya man clonith ,???
Wewe utabaki haiwezekani.
Ila uchawa ndo inawezekana si ndiyo
 
🚮 Kawe chawa ,hizi harakati ni juu ya uwezo wako.
Wenzako wanafikiria kwenda mwezini,kupandikiza Maini kutoka mtu kwenda mtu, kufanya man clonith ,???
Wewe utabaki haiwezekani.
Ila uchawa ndo inawezekana si ndiyo
kesho uwahi ofisini alafu ni aibu unatetea kitu huna uelewa nacho, next time uliza uelimishwe
 
Oky labda nikushauri jambo, most hakuna nyuzi ya kusema ni very important au nyingine siyo important,lakini kuna nyuzi zenye high liquidy mfano NFP,interest rate,employment and un employments but most kwa Us news , especially kama unatrade Gold ,fatilia kila nyuzi,
Siyo nzuri ni nzuri kwa jina hapana,kwa mfano kama ulifatilia interest rate ya mwezi uliyopita ilikuwa na impact hasi.

Kitu pekee ninachoweza kukushauri kuwa news zinaochochea kumaliza movements au kuanza movements mpya ,pia kuanzisha new movements(new price action)
So fatilia tabia za news on 1 hrs to 3 min b4 news ,ili kujua tabia.
Tambua tabia ,jifunze tabia zina tabia harafu achana na unatrade news gani?
Bali trade impacts ya news kwa Muda husika.
Kumbuka news inaweza badilisha tabia ya soko zima kwa hiyo dk 15 kabla ya news hadi 3 tatu ni muhimu, dk 2 -15 baada ya news hizi ni dakika muhimu pia .
Nachoweza kukwambia news zina tabia zona tabia ,jifunze tabia zake,haitokuwa rahisi but it's possible
uwahi ofisini kesho
 
Back
Top Bottom