Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Rasmi sasa nimejiondoa katika biashara ya foreign exchange (forex)

Oky labda nikushauri jambo, most hakuna nyuzi ya kusema ni very important au nyingine siyo important,lakini kuna nyuzi zenye high liquidy mfano NFP,interest rate,employment and un employments but most kwa Us news , especially kama unatrade Gold ,fatilia kila nyuzi,
Siyo nzuri ni nzuri kwa jina hapana,kwa mfano kama ulifatilia interest rate ya mwezi uliyopita ilikuwa na impact hasi.

Kitu pekee ninachoweza kukushauri kuwa news zinaochochea kumaliza movements au kuanza movements mpya ,pia kuanzisha new movements(new price action)
So fatilia tabia za news on 1 hrs to 3 min b4 news ,ili kujua tabia.
Tambua tabia ,jifunze tabia zina tabia harafu achana na unatrade news gani?
Bali trade impacts ya news kwa Muda husika.
Kumbuka news inaweza badilisha tabia ya soko zima kwa hiyo dk 15 kabla ya news hadi 3 tatu ni muhimu, dk 2 -15 baada ya news hizi ni dakika muhimu pia .
Nachoweza kukwambia news zina tabia zona tabia ,jifunze tabia zake,haitokuwa rahisi but it's possible
nyuzi gan wakati hata FX market huijui
 
🚮 akili za buku saba hizi,zinahimiza watu wakatimize ndoto za watu badala ya ndoto zao.
kesho uwahi ofisini alafu ni aibu unatetea kitu huna uelewa nacho, next time uliza uelimishwe
 
🚮 akili za buku saba hizi,zinahimiza watu wakatimize ndoto za watu badala ya ndoto zao.
si umesema umeajiriwa na bado unatengeneza mamilioni kwenye forex every 2 days? 😂 😂 : msipende kua waongo waongo na some kwanza vitu kwa undan kabla ya kuropoka haya uwahi ofisini sasa
 
🚮 akili za buku saba hizi,zinahimiza watu wakatimize ndoto za watu badala ya ndoto zao.
mm hua nasomaga nyuzi 😂😂, ukisoma nyuzi kila sku mamilioni yaani mpaka nachelewa kwenda kwenye ajira kisa NYUZI 😂😂, natengeneza mamilioni kwenye nyuzi kwahio naweza nkachelewa ata ofisini
 
Haya sijui ,hii ni leo nimeweka order kwanzia jana angalia lot, afu angalia balance,nimeset account KWA ajiri y'ako,
Week hii iyo account, naipeleka jero si fanyi technical but I doing ,to shut up ur mouth😛😛
Soma tarehe sawa nimekwambia it's week hii,afu Saa tisa na nusu karibu kwenye urimwengu wa Wanawake warembo( news)
nyuzi gan wakati hata FX market huijui
Screenshot_20230919-093755.png
 

Attachments

  • Screenshot_20230919-093743.png
    Screenshot_20230919-093743.png
    17.3 KB · Views: 16
Nawewe weka order,pumbavu😛 usisahau lot ni unyama afu balance ni mkia sawa balance ni dollar 30 tu lot0.16 ,
Mm maswala ya risk management ndo siyaelewagi,
Alafu kuwa makini na kazi za watu forex siyo kubet sawa
Screenshot_20230919-094735.png
 
Ps ni 50 tu usisahau ,usije ukachoma accnt ww si unasema forex ni betting,nakuonesha sasa,nataka utrde tufike pamoja jero,jero ni milioni 1.2😛
 
Mbana unajichanganya nani kakwambia hawana akili.
Mm nafanya kazi KWA malengo.
Kazi ninayoifanya ni my professional na nimeisomea chuo so naipenda.
Kutrade hakuusiani na kazi yangu
- Na wala huringi na kuajiriwa yaani , hio ofisi yote amna mwenye akili zaidi yako wote hawana akili ni wewe tu ndo una akili 😂
 
Mbana unajichanganya nani kakwambia hawana akili.
Mm nafanya kazi KWA malengo.
Kazi ninayoifanya ni my professional na nimeisomea chuo so naipenda.
Kutrade hakuusiani na kazi yangu
words of every forex chicken
 
Back
Top Bottom