CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Tayari Walibya wameishapata slots ya teams nne kilichobaki ni miujiza kama Simba SC wataingia group stages ya shirikisho na hiyo ina depend kama Pascal wawa ataacha mgomo wake wa kuruka juu mipira ya kichwa au wauzaji mechi watawaonea huruma mamilioni ya washabiki wa Simba.
Please maduka kuweni na huruma fikeni hata group stages basi, dah kakomboeni zile slots tena
Please maduka kuweni na huruma fikeni hata group stages basi, dah kakomboeni zile slots tena