RASMI Serengeti Boys Yarejeshwa AFCON

RASMI Serengeti Boys Yarejeshwa AFCON

Hata kina Andrea Ayew walitokea kwenye timu ya vijana.Matumaini yangu wakifanya vizuri,utakuwa ndiyo mwanzo watanzania kukua kisoka.
kukua hadi tuache siasa chafu kwenye mpira na tff waache usimba/uyanga (wawe fair kuendesha mpira kwa kufuata kanuni na misingi sahii ya mpira
 
hj

hujanielewa kwamba nimeongea pumba au unahitaji ufafanuzi Zaidi:
kama unahitaji ufafanuzi:-
ni sawa tumefurahi kupata nafasi ya AFCON.
lkn isiwe nafasi hii na sisi tukaitumia vibaya kuweka wachezaji wazee wenye umri Zaidi ya miaka 17 (tukafoji ili tushinde)
lengo la mashindano ya under 17 na 21 ni kuzisaidia timu za taifa kuwekeza ktk vijana ambapo huku wakilelewa vema, huwa wanatengeneza timu bora kabisa za taifa!
kwa hiyo kwetu target kubwa isiwe kuchukua kombe kwa kuwapeleka kina mrisho ngasa (utani: kwa maana ya wachezaji wazuri lkn umri mkubwa) bali lengo letu liwe ni kupeleka vijana ili kuwajengea uwezo Zaidi hapo baadae!
wawapeleke moi wakawapime kwenye mri na sisi yasijeyakatuuta
 
BIG UP SERENGETI BOYS, hii habari nimeitafuta kwenye site ya caf (cafonline.com) siioni sijui uhakika wa taarifa hizi uko wapi. ama kuna barua wamepokea tff?
 
Hawa madogo wakitunzwa na kulelewa vyema watatusaidia sana mbeleni, Magufuli atoe fungu madogo wahudumiwe vya kutosha.
 
Back
Top Bottom