kukua hadi tuache siasa chafu kwenye mpira na tff waache usimba/uyanga (wawe fair kuendesha mpira kwa kufuata kanuni na misingi sahii ya mpiraHata kina Andrea Ayew walitokea kwenye timu ya vijana.Matumaini yangu wakifanya vizuri,utakuwa ndiyo mwanzo watanzania kukua kisoka.
wawapeleke moi wakawapime kwenye mri na sisi yasijeyakatuutahj
hujanielewa kwamba nimeongea pumba au unahitaji ufafanuzi Zaidi:
kama unahitaji ufafanuzi:-
ni sawa tumefurahi kupata nafasi ya AFCON.
lkn isiwe nafasi hii na sisi tukaitumia vibaya kuweka wachezaji wazee wenye umri Zaidi ya miaka 17 (tukafoji ili tushinde)
lengo la mashindano ya under 17 na 21 ni kuzisaidia timu za taifa kuwekeza ktk vijana ambapo huku wakilelewa vema, huwa wanatengeneza timu bora kabisa za taifa!
kwa hiyo kwetu target kubwa isiwe kuchukua kombe kwa kuwapeleka kina mrisho ngasa (utani: kwa maana ya wachezaji wazuri lkn umri mkubwa) bali lengo letu liwe ni kupeleka vijana ili kuwajengea uwezo Zaidi hapo baadae!
HahahaaHata nzuri watwae kombe
Serikali ya Tanzania haijishughulishi na michezo .serikali nao watie mkono wao hapo vijana waende kambini hata nje ya nchi maana wakiingia kwenye team nne bora watashiriki world cup ya vijana under 17
Maneno pekee ya Malinzi tutaamini vipi.. Atuoneshe barua ya uthibitisho iliyokuwa ikisubiriwa