Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Baraza la Mawaziri limeridhia kutungwa kwa sheria ya kulinda taarifa binafsi.
Amesema kwa mara ya kwanza sheria hiyo itasomwa katika mkutano wa Bunge utakaoanza Jumanne ya Septemba 13, 2022 jijini Dodoma huku akiwataka wadau watakaokuwa na nafasi ya kutoa maoni wafanye hivyo.
Nape ameyasema hayo leo Jumatano, Septemba 7, 2022 wakati akifungua mkutano wa wadau wa mawasiliano na TEHAMA (Connect to Connect) Afrika.
"Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu kuwa na sheria ya kulinda data binafsi na habari njema ni kwamba kwa sasa tumeruhusiwa kuendelea na mchakato na mwezi huu sheria itasomwa bungeni," amesema.
PIA SOMA:
www.jamiiforums.com
Chanzo: Mwananchi
Amesema kwa mara ya kwanza sheria hiyo itasomwa katika mkutano wa Bunge utakaoanza Jumanne ya Septemba 13, 2022 jijini Dodoma huku akiwataka wadau watakaokuwa na nafasi ya kutoa maoni wafanye hivyo.
Nape ameyasema hayo leo Jumatano, Septemba 7, 2022 wakati akifungua mkutano wa wadau wa mawasiliano na TEHAMA (Connect to Connect) Afrika.
"Tumekuwa tukisubiri kwa muda mrefu kuwa na sheria ya kulinda data binafsi na habari njema ni kwamba kwa sasa tumeruhusiwa kuendelea na mchakato na mwezi huu sheria itasomwa bungeni," amesema.
PIA SOMA:
Nape Nnauye: "Tunakamilisha mchakato wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi"
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia amethibitisha kuwa Serikali inakamilisha mchakato wa utungwaji wa Sheria hiyo itakayolinda taarifa binafsi za watu. Kauli ya Nape inakuja wakati kukiwa na madai mengi ya sheria hiyo kutoka kwa watu binafsi na taasisi ikiwemo JamiiForums ambayo imekuwa...
Chanzo: Mwananchi