Rasmi: Superpower Urusi kuanza Mazoezi ya Silaha za Nyuklia

Rasmi: Superpower Urusi kuanza Mazoezi ya Silaha za Nyuklia

Baba huo Ni mkataba baina ya US na Russia juu ya ishu ya nuclear weapons. Mkataba ulihuishwa mwaka 1993 baada ya anguko la Soviet Russia .
Hivyo basi patokeapo mazoezi Kama hayo moja ya terms za mkataba huu Ni notification .
Kwenye ishu hii pia kulikua na scrapping ya silaha maelfu eg US aliscrap nuclear bombers B 52 Stratofortress maelfu. Wakati Russia iliscrap maelfu ya makombora ya medium Range ( Iskander M)
Nitarudi.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Huyo mtu uliyemuelimusha hapa sijui kama ataelewa.....ana tabu kwelikweli
 
Urusi imeitaarifu US kuwa wanatarajia kuanza mazoezi ya Nyuklia ya mwaka. Hili linakuja kipindi hiki ambacho NATO nao wanafanya Nuclear Drills huko ULAYA.
Hajaitaarifu nchi yeyote zaidi ya USA . It seems kuwa hawa tu ndo wa wanaheshimiana na kuogopana, wengine wote Mbuzi. Hii vita ni Washington na Moscow na haitaisha mpaka waamue wao. Okrainia aiogope sana siku US na Russia wakikaa mezani kulinda Maslah yao!!

Russia notifies US about nuclear drills – Pentagon[
NATO is currently holding its own “routine” nuclear exercises

View attachment 2398074
FILE PHOTO: A Tu-160 strategic bomber of the Russian air force is shown on a training mission © Vadim Savitsky / Russian Defense Ministry via AP

The Pentagon has announced that Russia officially notified US authorities of its plan to conduct annual exercises with its nuclear deterrence forces, amid NATO’s ongoing 'Steadfast Noon' nuclear drills.

“The US was notified and, as we’ve highlighted before, this is a routine annual exercise by Russia,”
spokesman Air Force Brigadier General Patrick Ryder said on Tuesday.

The US military offered no further details, but acknowledged that Russia

“is complying with its arms control obligations and its transparency commitments to make those notifications.”

The Russian Defense Ministry has yet to release an official statement about the date and scale of the planned exercise. Such drills usually involve comprehensive tests of both nuclear-capable and non-nuclear weapons, to ensure the readiness of strategic deterrence forces and the entire chain of command.

The last time Russia conducted a similar exercise was back in February, several days before Moscow launched its military operation in Ukraine.

The announcement comes amid the ongoing ‘Steadfast Noon' nuclear drills, set to last until October 30 and take place over Belgium, the North Sea and the UK. NATO has also described the exercises as “routine” and “not linked to any current world events,” while insisting that no live weapons will be used. Some 60 aircraft of various types from 14 NATO member states are taking part in Steadfast Noon, including state-of-the-art fighter jets, surveillance and tanker planes, as well as US B-52 nuclear-capable strategic bombers.

President Vladimir Putin recently vowed that Russia will use “all the means available to us” to defend its people and territory – a statement that Washington and its NATO allies have interpreted as a veiled threat to deploy nuclear weapons.

NATO Secretary General Jens Stoltenberg dismissed concerns that the alliance’s nuclear posture could cause a miscalculation amid heightened tensions with Russia, emphasizing that that it would instead send a “very wrong signal”if NATO canceled the nuclear drill because of the Ukraine crisis
Wazungu wenyewe wana msemo "barking dog never bit" ukiona russia wanajisemea ovyo namna hiyo jua ni debe tupu, na toka vita inaanza russia walianza kusogeza vinu vya nuclear sijuwi lile zoezi liliishia wapi, urusi amepigana miezi 7 tu anahitaji msaada ama kukodi silaha toka Iran hili ni jambo la aibu sana kwa huyu superpower

Tahadhari zote alizotoa zimeshavunjwa na hakuna alichofanya hadi sasa, alisema ukijaribu kushambuli majimbo aliyopiga kura umeshambulia urusi na atatumia nuclear kuyalinda yale majimbo sasa hichi kinachotokea ni nini?

Urusi wamelazimika kuhamisha raia wao na kuuacha mji wa Kharson kwa kushindwa mashambulizi lakini kumbuka Lyman pia ipo mikononi mwa Ukrain, hivi ni lini putin ataongea maneno na dunia kuona yale maneno yake anayafanyia kazi??

Hem leteni majibu.
 
Hiyo inaitwa false flag operation hamna kitu hapo yeye mwenyewe anafahamu balaa lake
 
Uzuri alishatoa taarifa[emoji23]

The Pentagon has announced that Russia officially notified US authorities of its plan to conduct annual exercises with its nuclear deterrence forces, amid NATO’s ongoing 'Steadfast Noon' nuclear drills.

“The US was notified and, as we’ve highlighted before, this is a routine annual exercise by Russia,”
spokesman Air Force Brigadier General Patrick Ryder said on Tuesday.

The US military offered no further details, but acknowledged that Russia

“is complying with its arms control obligations and its transparency commitments to make those notifications.”
This is the tradition between the two superpowers tangu enzi za Soviet Union...nchi moja ikitaka kufanya mazoezi ya kijeshi iwe ni kwa conventional au nuclear weapons ni 'lazima' amuarifu mwenzake...ni utamaduni uliopp
 
Urusi imeitaarifu US kuwa wanatarajia kuanza mazoezi ya Nyuklia ya mwaka. Hili linakuja kipindi hiki ambacho NATO nao wanafanya Nuclear Drills huko ULAYA.

Hajaitaarifu nchi yeyote zaidi ya USA . It seems kuwa hawa tu ndo wa wanaheshimiana na kuogopana, wengine wote Mbuzi. Hii vita ni Washington na Moscow na haitaisha mpaka waamue wao. Okrainia aiogope sana siku US na Russia wakikaa mezani kulinda Maslah yao!!

Russia notifies US about nuclear drills – Pentagon[
NATO is currently holding its own “routine” nuclear exercises

View attachment 2398074
FILE PHOTO: A Tu-160 strategic bomber of the Russian air force is shown on a training mission [emoji767] Vadim Savitsky / Russian Defense Ministry via AP

The Pentagon has announced that Russia officially notified US authorities of its plan to conduct annual exercises with its nuclear deterrence forces, amid NATO’s ongoing 'Steadfast Noon' nuclear drills.

“The US was notified and, as we’ve highlighted before, this is a routine annual exercise by Russia,”
spokesman Air Force Brigadier General Patrick Ryder said on Tuesday.

The US military offered no further details, but acknowledged that Russia

“is complying with its arms control obligations and its transparency commitments to make those notifications.”

The Russian Defense Ministry has yet to release an official statement about the date and scale of the planned exercise. Such drills usually involve comprehensive tests of both nuclear-capable and non-nuclear weapons, to ensure the readiness of strategic deterrence forces and the entire chain of command.

The last time Russia conducted a similar exercise was back in February, several days before Moscow launched its military operation in Ukraine.

The announcement comes amid the ongoing ‘Steadfast Noon' nuclear drills, set to last until October 30 and take place over Belgium, the North Sea and the UK. NATO has also described the exercises as “routine” and “not linked to any current world events,” while insisting that no live weapons will be used. Some 60 aircraft of various types from 14 NATO member states are taking part in Steadfast Noon, including state-of-the-art fighter jets, surveillance and tanker planes, as well as US B-52 nuclear-capable strategic bombers.

President Vladimir Putin recently vowed that Russia will use “all the means available to us” to defend its people and territory – a statement that Washington and its NATO allies have interpreted as a veiled threat to deploy nuclear weapons.

NATO Secretary General Jens Stoltenberg dismissed concerns that the alliance’s nuclear posture could cause a miscalculation amid heightened tensions with Russia, emphasizing that that it would instead send a “very wrong signal”if NATO canceled the nuclear drill because of the Ukraine crisis

Superpower gani tena?Huyuhuyu Russia anayehangaika na Ukraine Kwa miezi 8? Kama ni hivyo basi atakuwa Superpower Uchwara!!Angekuwa wa ukweli angefanya Kama alivyosema kuwa masaa 72 atakuwa ameiteka Ukraine yote nashangaa mpaka sasa hivi bado anahangaika na kulalamika ovyoovyo!!!
 
Back
Top Bottom