Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
WhatsApp hawawafikii sijui wafanye nini Ila telegram ni level zingine na wakijaribu kuwasogelea wataleta vitu ambavyo WhatsApp hawajawahi kuviwaza hata siku mojaWamewakopi telegram
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WhatsApp hawawafikii sijui wafanye nini Ila telegram ni level zingine na wakijaribu kuwasogelea wataleta vitu ambavyo WhatsApp hawajawahi kuviwaza hata siku mojaWamewakopi telegram
Hakika mkuuTelegram kiboko lile JINI sio mchezo
Na pia sehemu ya kusearch jina upande wa status wameitoa.Ila sijapenda status zilivyofichwa,kuona status inakua mgumu mpaka u scrow
Mbona kwangu naonaKwa sisi wenye Whatsapp business huwezi ona status ulizokishatizama mpaka utafute jina la mtu. Mfano Hustla umepost status moja nikiiona nikitaka kuiona tena inabidi nitoke status niende kwenye profile yako.
Aiseee 😂😂Yes tangu Juni mwanzoni walitoa tangazo mwezi wa Tisa na mwezi huu wa 10 watu wengi wa Tanzania ndio wameanza kuona updates
hii ni whatsaap gani mbona ya tofauti au ni whatsaap fm madam?Sijapenda kabisa. Najuta ku update.View attachment 2769034
Sijapenda kabisa. Najuta ku update.View attachment 2769034
Telegram unaweza ukafungua akaunti ukaona imekuzingua ukaifuta ukafungua akaunti nyingine mwambie WhatsApp afanye hivyo, alafu kuna kitu kinaitwa Secret Chat yaan hicho kinapigwa lock mnachat hakitoki nje ni humo humo hakuna ku-share sijui kuforwardHakika mkuu
Futa kauli.. hizo channel zimeanza kuonekana zina weeks 2+ sasa.Kufikia jana Whatsapp za Tanzania zilianza kupokea updates mpya ya Channels
Ni whatsapp ya kawaida. Labda aina ya simu ndio iwe imeweka korokoro zingine.hii ni whatsaap gani mbona ya tofauti au ni whatsaap fm madam?
ooh sawa madamNi whatsapp ya kawaida. Labda aina ya simu ndio iwe imeweka korokoro zingine.
Hivyo hivyo WhatsApp FMhii ni whatsaap gani mbona ya tofauti au ni whatsaap fm madam?
Na yeye atafika tuTelegram unaweza ukafungua akaunti ukaona imekuzingua ukaifuta ukafungua akaunti nyingine mwambie WhatsApp afanye hivyo, alafu kuna kitu kinaitwa Secret Chat yaan hicho kinapigwa lock mnachat hakitoki nje ni humo humo hakuna ku-share sijui kuforward
something wrong sio bure ngoja nichanfanye na zanguHivyo hivyo WhatsApp FM
mhhsomething wrong sio bure ngoja nichanfanye na zangu
Si kweliHivyo hivyo WhatsApp FM
Kabisa telegram ni nzuri sana wa russia pale walituliza akiliWhatsApp hawawafikii sijui wafanye nini Ila telegram ni level zingine na wakijaribu kuwasogelea wataleta vitu ambavyo WhatsApp hawajawahi kuviwaza hata siku moja
No WhatsApp Classic Baby basi itakuamhh
Cha ajabu pale ni ile dark mode au ule mpangilio?
Si kweli
Na pia sehemu ya kusearch jina upande wa status wameitoa.