Rasmi: Yanga yatuma barua kwa Azam fc kutaka kuwasajili wachezaji James Akaminko na Kipre jr

Mbona mashabiki wa yanga hatuna tatizo kuondoka kwa Feisal. Yani vyovyote itakavyokua tumeridhia akienda sawa akibaki pia ni sawa.
Kwa mtazamo wangu binafsi deal hii n nzuri kwa manufaa ya Feisal mwenyew na yanga sababu ata akibaki naona kabisa sio rahis kurudi kwenye kikosi cha kwanza labda timu isipate matokea Ila kama itaendelea kushinda bench litamuhusu sana.
Yanga tunahitaj sana winga fundi type ya Kipre Jr, kiungo kama Akaminko anaingia kwenye kikosi cha kwanza cha timu yoyote kubwa hapa bongo
 
Hela wanayo??????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wameshindwa kutoa mishahara inayoeleweka ndio wataweza kusajili hao wanaotakwatajwa hebu kaa kimya wewe chura wa kijani stupid.....

Utopolo wote akili hamnazo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Wewe wasema ila hao wengine wamekaza shingo huko wanaona kama dogo akisepa na timu imekufa
 
kuwapata hao vijana ni Bil 1.8 wote wawili😝😝😝😝

Deportival le Madrid mtaiweza?

Halafu wana release CLAUSE 😩
 
Eti washamba, kaongoze basi hata timu ya ndondo tukuone ujanja wako
 
Dejan aliuzwa wapi? alitumia vipengere vipi kuvunja mkataba na nyie wajanja FC
 
Hivi kumtaka au kununua mchezaji wa timu nyingine officially ni kulipa kisasi? Hivi bongo kuna shida gani? Biashara imekua dhambi?
Hehehehe! Bongo kuna shida!

Kipindi hata kabla ya sakata la Feisal, kuna mashabiki wa Yanga katika vibanda umiza walikuwa wanawatamani wachezaji hao hasa Akaminko asajaliwe Yanga. Sasa leo viongozi wanataka kuwasajili, inaonekana tena ni kilipiza kisasi! Hatari sana!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Yanga wamekamilika ndo mana fei azam wenyewe tu wamemkana labda kama una yako
Yanga gape lipowapi? Fei alihichanganya
 
Bongo ni hatari.
Watu walikua wanasema saido anakula pensheni leo wamemsajili wao 😂😂
 
We jamaa niwie radhi kukwambia hivi ila naona una tatizo mahali. Jizuie kuongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia otherwise kuna muda unaamua tu mwenyewe kuleta jokes
Nyie na viongozi wenu vijana wanaofuata mawazo ya wazee wa klabu ni weupe sana, sijawahi kuona akili zenu ziko wapi, bado nazitafuta tu!
 
Tanzania tuna asili mbaya sn mleta uzi acha majungu ya kimasikini....Yanga saiv ni realistic na hela ipo, pia feisal Sisi hatuna ubaya nae...lkn hbr mbaya ni kwamba feisal anabaki na hizo offer tushatuma tunasubr azam wajibu afu tujenge jiwe juu ya jiwe
 

Ukiwa ulicheza mpira na una ujua mpira zen usiongolee kishabiki bali kimpira
Je ni timu gani NBCPL ? Isiyohitaji Huduma ya JAMES AKAMIKO na KIPRE JR ?
 
Yap, wanavizia taji jingine na ujinga wao. Wengine wenye akili kazi yao ni kubadili makocha tu. Hawajui hata wanataka nini
Taji la kucheza kigodoro labda maana hilo ndiyo mnaweza kufanya bila kutoa bahasha
 
Kwamba hii barua inavujishwa makusudi kuwaambia Mashabiki Azam FC walitakiwa kufanya hivi sio? [emoji2]

Ukweli mnaujua kwamba Wala Azam FC hawakuhitajika kufanya hivi kwasababu ya vipengele vya ule Mkataba havikuwalazimisha kufanya nyie mnavyotaka.

Barua ambazo zinatakiwa kuwa ni Mali na Siri ya taasisi kubwa kama zinavuja tu kama Pakacha.Haya ni Moja ya mambo ya Aibu kwa mwaka 2022.

Ule Mktaba wa Toto naambiwa watu walikuwa nao tu mtaani wanafungia Maandazi Imagine that.Hata Enzi za Mzee Ngozoma Matunda hali haikuwa hivi. Kwanini?

Na nasikia hata Mktaba wa Kalala upo mtaani.Na nasikia upo uchi zaidi kwenye vipengele vya kuuvunja kuliko huu wa Toto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…