Rasmi: Yanga yatuma barua kwa Azam fc kutaka kuwasajili wachezaji James Akaminko na Kipre jr

Mkiambiwa mnaongozwa na hisia mnakua wakali. Huo mkataba wa Feitoto kwa mnauficha kama ulikua unafungiwa maandazi? Kwa nini usiulete hapa wote tuuone unabaki kuscreenshot na kucrop vipande vipande unaficha ficha nini sasa?

Hamnazo wemzenu ndio watakubaliana na huo utoto mnaoandika sio sisi. Sawa mtoto?
 
Je, hii ligi waliyoianzisha Utopolo wataiweza?

Na inatoa picha moja kwa moja kuwa sakata la feisal bado bichi na inavyoonesha wauza ukwaju washambeba feitoto,ndio maana uto wanataka kufanya revenge

Akili ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…