a.k.a wanawatukana kistaarabu.Na mimi nimeelewa hivyo Mkuu. Wanawafundisha procedures walizotakiwa kufuata. Tunajua fika azam watakataa offers hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a.k.a wanawatukana kistaarabu.Na mimi nimeelewa hivyo Mkuu. Wanawafundisha procedures walizotakiwa kufuata. Tunajua fika azam watakataa offers hizo.
Kumbuka kule yanga wenye akili ni wawili TU na sio viongoziWewe ni mjanja sana maana una akili sana kuwazidi viongozi wa yanga aisee🤔🤔
Siyo kuwafundisha Azam bali ni kupanic tu kwa viongozi wa Yanga baada ya tetesi za feisal kutakiwa na Azam .Kimsingi yanga Wanawafundisha Azam ni namna gani ufanye ukimuhitaji mchezaji wa timu nyingine.
Pale Yanga viongozi wote ni weupe kwenye masuala ya mikataba ya wachezaji.Indeed ila hapa kuna makolo wanacomment upupu kama vile wao ni waelewa kushinda viongozi wote wa Yanga
We jamaa niwie radhi kukwambia hivi ila naona una tatizo mahali. Jizuie kuongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia otherwise kuna muda unaamua tu mwenyewe kuleta jokesViongozi wanaoweka kipengele kwenye mkataba na mchezaji wao kinachowabana wenyewe, kwangu bora timu isiwe na viongozi tu.
Wajifunze kwa Azam, imewabidi waandike barua ya kuomba wapewe bei, kwasababu Azam sio wazembe wa kuacha mapengo kwenye mikataba ya wachezaji wao kama utopolo.
Viongozi wa yanga na simba ni lini walipata kuwa na akili.kwa vipindi vyote tofauti tofauti tangu uzijue timu hizi.Wewe ni mjanja sana maana una akili sana kuwazidi viongozi wa yanga aisee🤔🤔
Usishindane na tajiri, Mwanasiasa mstaafu alijificja kwenye timu ataweza nini.huko chamami bado ni mipasho mazima.Yanga imethibitisha leo kupeleka ofa rasmi kwa ajili ya kuwasahili viungo wa wauza ukwaju(Azam Fc) ambao ni Kipre Jr na Akamiko .
Yanga wamesema wko tayari kuwaogeza mshahara zaidi ule wanaolipwa na Azam Fc. Popat amekiri kupokea na wataijadili na menejimenti na benchi la ufundi na amesema hawana uswahili na Yanga ndo maana wamewauzia Sure Boy wakati ana miez 8 imebaki kwa mkataba...Je hii inahusiana na usajili wa Fei kwenda Azam Fc?
Tuendelee kunywa Mtori Nyama tutazikuta chini. Azam walichokonoa na walitest nguvu ya Yanga, wajiandae kisaikolojia kusumbuana na nguvu ya wananchi kipropaganda na kichokonozi.
Nyongeza :
Yanga wapo serious na usajili ya MIQUISSONE .
Wasafi Fm
Mbona mmepaniki Makolo? hivi kosa la Yanga ni kutuma offa ya kuwasajili hao mafundi? Nyie sajilini vibabu huko, acheni Yanga ifanye vile inataka!Ni ujinga tu Kama kulipiza kisasi,litimu Lina Mambo ya kitoto Sana,ili iweje sasa,
Achana na haya mazwazwa.Hivi kumtaka au kununua mchezaji wa timu nyingine officially ni kulipa kisasi? Hivi bongo kuna shida gani? Biashara imekua dhambi?
Nashangaa kinachowakereketa ni nini? Wamemsajili babu Saidoo hamna aliyesema. Sisi kutuma tu barua wamewahi kufungua uzi, ndo' ujue kuna madafu na vichwa.Mbona mmepaniki Makolo? hivi kosa la Yanga ni kutuma offa ya kuwasajili hao mafundi? Nyie sajilini vibabu huko, acheni Yanga ifanye vile inataka!
Wanayo ndo maana barua imetumwaWana dollar 800k kwa wote??
Sasa hapo wameshindana kitu gani?Usishindane na tajiri, Mwanasiasa mstaafu alijificja kwenye timu ataweza nini.huko chamami bado ni mipasho mazima.
Hawana akili hao, kuna vitu vinatokea tanzania tu.TANZANIA KUNA VITU VITATU VyA HOVYO SANA LAKINI VINATUWEKA BIZE SAMA.CCM, SIMBA NA YANGA.Sasa hapo wameshindana kitu gani?
Watu wametuma barua kuulizia kama wanapatikana.
Hawana akili kivipi?Hawana akili hao, kuna vitu vinatokea tanzania tu.TANZANIA KUNA VITU VITATU VyA HOVYO SANA LAKINI VINATUWEKA BIZE SAMA.CCM, SIMBA NA YANGA.