Na we bangi ikakutuma uone kama ni mihemko?Mshana Jr kasema bangi mbaya, hajasema mbaya kwa nani? Hajasema mbaya kivipi, labda shina lake yeye ndio analiona baya? Labda ni mbaya kwa udongo wa mfinyanzi?
Kaacha wigo mpana wa kuujua ubaya wa bangi.
Tusiendeshwe na mihemko
Eehh!! Eehh!! Mshana Jr Tuheshimiane, kuwa na heshima [emoji23]Bangi mbaya sana
Kumbe bangi ni mtu mwenye mamlaka!!!Na we bangi ikakutuma uone kama ni mihemko?
Rastafarians wa kibongo[emoji3]Hawa mwenzao ni afande sele
Great thinker Buji[emoji1752][emoji1534][emoji1548]Mshana Jr kasema bangi mbaya, hajasema mbaya kwa nani? Hajasema mbaya kivipi, labda shina lake yeye ndio analiona baya? Labda ni mbaya kwa udongo wa mfinyanzi?
Kaacha wigo mpana wa kuujua ubaya wa bangi.
Tusiendeshwe na mihemko
Nina ifahamu bangi kindakindaki kwa kuitumia, kuisomea hata kuifanyia majaribio mbali mbali, nina mada zaidi mbili hapa nikiisifia kwa faida na nikieleza madhara yake kwa hasaraSio kweli,na usipoteshe umma kwa uongo.
Kila kitu kina ubaya wake kutokana na matumizi yake hata maji ya kunywa ukinywa ndivyo sivyo yana athari.
Ukisifia Konyagi/K-Vant unaona ujanja ila Mmea unaukandia.
Sio kweli,na usipoteshe umma kwa uongo.
Kila kitu kina ubaya wake kutokana na matumizi yake hata maji ya kunywa ukinywa ndivyo sivyo yana athari.
Ukisifia Konyagi/K-Vant unaona ujanja ila Mmea unaukandia.
Sio kweli,na usipoteshe umma kwa uongo.
Kila kitu kina ubaya wake kutokana na matumizi yake hata maji ya kunywa ukinywa ndivyo sivyo yana athari.
Ukisifia Konyagi/K-Vant unaona ujanja ila Mmea unaukandia.
Bangi huwa mbaya kwa watu wengine sio marastafari, jamaa pamoja na mibangi yao huwa wapole na waungwana sana sijui ndiyo imani yao inawataka wawe hivyo?Bangi mbaya sana
Sio kwa Afande sele lakiniBangi huwa mbaya kwa watu wengine sio marastafari, jamaa pamoja na mibangi yao huwa wapole na waungwana sana sijui ndiyo imani yao inawataka wawe hivyo?
Kama bangi zinawatuma kufanya ibada ni bangi nzuri
Sentence moja tu imegeuza mjadala woteKama kawaida JF wameacha kujadili mada wanajadili comment ya kwanza.....
Bangiiiii
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Wapole kama afande Sele.Bangi huwa mbaya kwa watu wengine sio marastafari, jamaa pamoja na mibangi yao huwa wapole na waungwana sana sijui ndiyo imani yao inawataka wawe hivyo?
Kwanza huwa wachafu pili wehuwehuRastafarians wa kibongo[emoji3]
Hata wao wanakushangaa kama unavyowashangaa wewe. Mambo ya Imani ni too personal nduguKwanza huwa wachafu pili wehuwehu
Imani za kuwafanya watu wawe wachafu zinawalakiniHata wao wanakushangaa kama unavyowashangaa wewe. Mambo ya Imani ni too personal ndugu
Wametumia ubani ganiWaumini wa Rastafarian wamemfanyia ibada Rais Magufuli aliyefariki Machi 17, 20201 kwa matatizo ya moyo katika Hospitali ya Mzena.
Waumini hao wamesema wanamchukulia Magufuli kama Nabii wao kwa kuwa hata namna yake ya kiutawala ni namna ya kiafrika ya kutawala ya kutanguliza utu na maslahi ya taifa.
Wamesema tangu ameingia kwenye utawala walimuona kuwa Nabi ambaye badala ya jina la Yohana badaya ya John kama ambavyo linavyoandikwa. Hata hivyo jina John ni kiingereza cha jina Yohana.