Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Kama Sasa hakuna ajira mtu wangu mtu ataishi Kama atakavyo jipangia s Tena sawa na itakavyo serikali au watu wengnMmewapa elimu wametoka ujinga na sasa ni matapeli wasomi...
Nawaza kwa sauti kizazi kinachokuja Cha majambazi yenye elimu...
Late badala ya rate. Noma sana, unathibitisha kuwa wewe una elimu ya kizushi kuliko graduates wote wa vyuo vikuu.Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu
Mmeshindwa kujiajiri?
Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho
Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri
Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT
Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!
Shiiit
Umemsikia wapi Marehemu ya chuo, huyo alitaka amaanishe rate ya wanachuo, yaani idadi yao.Marehemu yaani wanachuo marehemu ambao akili zao zimekufa wapo wengi mtaani kipi? Ambacho haujaelewa
Late badala ya rate. Noma sana, unathibitisha kuwa wewe una elimu ya kizushi kuliko graduates wote wa vyuo vikuu.
Alafu pili, nani kakuambia graduates wote wamesoma IT? Unataka mtu aliyesoma procurement atumie elimu yake kujiajiri? Au aliyesoma psychology anajiajirije na elimu yake? Kuna watu wamesoma BSc. In Mathematics Hawa watafanya nini mtaani kwa kutumia elimu waliyopata chuoni?
Tatizo sio graduates, tatizo lipo wizarani ambapo wameruhusu course ambazo hazitaleta output kutoka kwa graduates.
Wazungu wanakuja na robots. Hawa ajili watu.Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu
Mmeshindwa kujiajiri?
Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho
Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri
Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT
Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!
Shiiit
Tatizo vijana wa bongo hamuajiliki kwasababu ya kupenda shortcutsKwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu
Mmeshindwa kujiajiri?
Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho
Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri
Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT
Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!
Shiiit
Uliza kwanza kodiKwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu
Mmeshindwa kujiajiri?
Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho
Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri
Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT
Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!
Shiiit
Ya kuchelewa inaandikwaje chief??Hiyo siyo late ya kuchelewa hiyo lete ya marehemu
Nahisi lugha una F .Acheni ujinga nimekusudia Late ya marehemu.... mmejazana sana mtaani mnatakiwa ; yaani akili mfu yaani wanachuo marehemu wasioweza fanya shughuli yeyote Sawa na watu waliokufa... kipi ambacho haujakielewa unaforce kama uzi umeuandika wewe nkmemaanisha marehemu
Wajinga nyie mnashindwa hata Kung’amua mambo hata hilo neno linawashinda... watu nyie jiajirini