Rate ya wanachuo mtaani ni kubwa, Wazungu njooni mtuajiri

Rate ya wanachuo mtaani ni kubwa, Wazungu njooni mtuajiri

Mmewapa elimu wametoka ujinga na sasa ni matapeli wasomi...

Nawaza kwa sauti kizazi kinachokuja Cha majambazi yenye elimu...
Wewe Kama Sasa hakuna ajira mtu wangu mtu ataishi Kama atakavyo jipangia s Tena sawa na itakavyo serikali au watu wengn
 
Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu

Mmeshindwa kujiajiri?

Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho

Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri

Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT

Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!

Shiiit
Late badala ya rate. Noma sana, unathibitisha kuwa wewe una elimu ya kizushi kuliko graduates wote wa vyuo vikuu.

Alafu pili, nani kakuambia graduates wote wamesoma IT? Unataka mtu aliyesoma procurement atumie elimu yake kujiajiri? Au aliyesoma psychology anajiajirije na elimu yake? Kuna watu wamesoma BSc. In Mathematics na Bsc in Biology, hawa watafanya nini mtaani kwa kutumia elimu waliyopata chuoni?

Tatizo sio graduates, tatizo lipo wizarani ambapo wameruhusu course ambazo hazileti output kutoka kwa graduates.
 
Kama na wewe ni mwanachuo basi sio ajabu kwanini mpo wengi mtaani ikiwa huwezi kutofautisha matumizi ya 'L' na 'R' kiaisi cha kupotosha sentesi zima.

Late - chelewa/marehemu.
Rate - kiwango.
 
Late badala ya rate. Noma sana, unathibitisha kuwa wewe una elimu ya kizushi kuliko graduates wote wa vyuo vikuu.

Alafu pili, nani kakuambia graduates wote wamesoma IT? Unataka mtu aliyesoma procurement atumie elimu yake kujiajiri? Au aliyesoma psychology anajiajirije na elimu yake? Kuna watu wamesoma BSc. In Mathematics Hawa watafanya nini mtaani kwa kutumia elimu waliyopata chuoni?

Tatizo sio graduates, tatizo lipo wizarani ambapo wameruhusu course ambazo hazitaleta output kutoka kwa graduates.

Acheni ujinga nimekusudia Late ya marehemu.... mmejazana sana mtaani mnatakiwa ; yaani akili mfu yaani wanachuo marehemu wasioweza fanya shughuli yeyote Sawa na watu waliokufa... kipi ambacho haujakielewa unaforce kama uzi umeuandika wewe nkmemaanisha marehemu

Wajinga nyie mnashindwa hata Kung’amua mambo hata hilo neno linawashinda... watu nyie jiajirini
 
Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu

Mmeshindwa kujiajiri?

Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho

Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri

Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT

Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!

Shiiit
Wazungu wanakuja na robots. Hawa ajili watu.
 
Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu

Mmeshindwa kujiajiri?

Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho

Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri

Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT

Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!

Shiiit
Tatizo vijana wa bongo hamuajiliki kwasababu ya kupenda shortcuts
 
Kwenye hili hatutovumiliana, meenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu

Mmeshindwa kujiajiri?

Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho

Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri

Mnatia haibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu zushi za IT

Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!!!

Shiiit
Uliza kwanza kodi
 
Hiyo siyo late ya kuchelewa hiyo lete ya marehemu
Ya kuchelewa inaandikwaje chief??

Ni busara pale unapokosea ukakubali kukosolewa kuliko kuendelea kushupaza shingo kwa ubishi usio na mantiki.

Kiri tu kuwa ulidhamiria kuandika rate ila lafudhi yako ikaathiri uandishi wako pia.
 
IMG_9467.png

Si mnajifanya hamnazo nyinyi: mtaolewa wana Chuo njaa tu kazi kukaa kwa mama zenu
 
Acheni ujinga nimekusudia Late ya marehemu.... mmejazana sana mtaani mnatakiwa ; yaani akili mfu yaani wanachuo marehemu wasioweza fanya shughuli yeyote Sawa na watu waliokufa... kipi ambacho haujakielewa unaforce kama uzi umeuandika wewe nkmemaanisha marehemu

Wajinga nyie mnashindwa hata Kung’amua mambo hata hilo neno linawashinda... watu nyie jiajirini
Nahisi lugha una F .
Yaani kimatamshi it doesn't make sense. Kama ni hivyo usingeweka neno "ya" kama ulimaanisha late( a thing of past).
Kiufupi umeukwaa.
 
Back
Top Bottom