Rate ya wanachuo mtaani ni kubwa, Wazungu njooni mtuajiri

Rate ya wanachuo mtaani ni kubwa, Wazungu njooni mtuajiri

Kama serikali inatakiwa ipitishe sheria Kwa wana chuo haiwezekani miaka 10 tangu umalize chuo haujajiajiri yaani hauna manufaa yeyote kwa serikali yako husika hasa hapa tanzania

Kuinufaisha serikali yako ni lazima pindi unapomaliza chuo tena isipite au isikaribie miaka 5-10 uwe teari umeshaliingizia taifa faida

Haijalishi umesomeshwa na serikali au na wazazi wako yaani ni umejulikana ni muhitimu wa chuo tena upo tanzania na ni MTANZANIA hiyo sheria lazima ifanye kazi kwako

Ulipata boom au haukupata hii kama serikari /sheria haihusiani na hilo- mnatia haibu sanaa mpo wengi sanaa mitaaani yaani mpo kama wafu tu hamna faida Kwa wazazi wenu wala kwa serikali yenu mpo mpo tu

Watoto wakike mnazalishwa ovyo wakiume mnazurula tu kutwa nzima hii ifike mwisho hatuwezi mkawa sehemu ya taifa na ujinga wenu wakati mmepitia mafunzo mavyuoni huko na mpo na elimu pia

Hili litapitishwa kama sheria hatuwezi kuwavumilia kamwe- acheni ujinga mjiajiri na sio kuajiriwa tena kama mlivyofikiria

Yaani kuajiriwa na serikali hilo halipo tena ni ninyi mjiajiri wenyewe

Nyambaaaafuuu
Waliojijiri kwenye utaperi wa tuma kwenye namba hii vipi hao mkuu!
 
Washitakiwe tena? kwa nini tusianze na hawa walioajiriwa na wana zaidi ya miaka 10 kazini na wameshindwa kujiajiri ingawa tayari wana mitaji?
 
Aliyesomea ugavi, anaweza kujiajiri, kukusanya mazao vijijini na kuuza, au kufanya biashara ya kubadilishana vitu na mazao, Aliye somea math, anaweza kuanzisha twisheni wazazi wengi wanapenda watoto wao wasome na wajue hesabu.

Unaenda chuo kusomea ujinga
 
Serikali pia inabidi ilegeze masharti ya kutoa passport vijana wetu waweze kutoka nje kirahisi na kwenda kutafuta maisha huko. Kuwarundika tu hapa ndani wakati ajira hakuna kuna faida gani? Kuna fursa huko nje Watanzania zinatupita kwa sababu ya ukiritimba tu na mambo ya ajabu ajabu yasiyo na maana. Hakuna sababu ni kwa nini kijana wa Kitanzania aliyesomea Kiswahili, kwa mfano, aendeshe bodaboda wakati Kiswahili sasa hivi ni hotcake dunia nzima na Wakenya ndiyo wanatamba huko nje sisi tupo tu pamoja na kwamba ndiyo tunaongea Kiswahili fasaha kabisa!

Wafungue mipaka. Vijana watoke nje wakapate exposure kuhusu dunia inavyokwenda. Waibe na teknolojia huko wakiweza. Waende wakapige boksi huko na maisha yaende. Rwanda, kama sikosei, diaspora wanatambuliwa kama mkoa wa sita kiutawala na wanachangia asilimia ya kueleweka katika pato la taifa kupitia home remittances. Hakuna sababu Tanzania iwe ya mwisho kwa kuwa na diaspora katika nchi za ukanda huu wa Afrika.

Yaani sisi karibu kila kitu kigumu sijui kwa nini 😬😬😬
Yaani CCM ni wabinafsi Leo hawataki uraia Pacha Kwa sababu za kihuniiiii tu
 
Maboom mliyatumiaje? Ovyoo mlishindwa kuyahifadhi mkajiajiri kupitia kujibana kwa maboom yenu
Ukitunza boom sasa maana yake unakua unakula nini ?
Mnataka wanachuo wasinunue mashati, bando, wasilipe nauli kwenye daladala, wasinunue Tecno na itel bali watunze boom ?

Acheni mambo yenu.
 
Naona sasa mtashika hadabu

Mkishindwa kujiajiri mtatafuta nchi ya kwenda kukaa bure bila shughuli yeyote maana imekuwa to much sasa mpo tu na hamna faida yeyote

Rasmi sasa muhitimu yeyote wa Chuo atayeshindwa kujiajiri baada ya kumaliza chuo achague aende jela miaka mitatu akakae bure huko jela au aame nchi atafute nchi ambayo anaweza kwenda kukaa bila shughuli

Wahitimu wa Chuo wamekuwa kero sanaa mitaani yaani sawa sawa na watoto wa mitaani tu hawana tofauti na machokoraa , wapo wapo tu

Sasa mmeenda Chuo kufanyaje? Kama izo elimu zenu haziwezi wasaidia chochote si bora mngeishia darasa Ka saba tu tujue moja kama hamna elimu yeyote maana hata hao darasa la saba wapo juu kujiajiri kuliko hao wahitimu wa Chuo

Hamna faida Kwa taifa bora litokee janga wahi timu wa Chuo wote mfe, maana ni hasara Kwa taifa

Mijingaaa kabsa
 
Mleta mada naona unawajia juu wanachuo ?

Vipi wewe umejiajiri au umeajiriwa

Wewe kama ni mwachuo na upo tu mkuu kuna sheria itapitishwa hivi karibuni kuwa muhitimu wachuo akimaliza Chuo Na kushindwa kujiajiri anaenda jela miaka minne


Jiandae Kwa hilo
 
Back
Top Bottom