Rate ya wanachuo mtaani ni kubwa, Wazungu njooni mtuajiri

Mleta mada naona unawajia juu wanachuo ?

Vipi wewe umejiajiri au umeajiriwa

Wewe kama ni mwachuo na upo tu mkuu kuna sheria itapitishwa hivi karibuni kuwa muhitimu wachuo akimaliza Chuo Na kushindwa kujiajiri anaenda jela miaka minne


Jiandae Kwa hilo
 
Wewe kama ni mwachuo na upo tu mkuu kuna sheria itapitishwa hivi karibuni kuwa muhitimu wachuo akimaliza Chuo Na kushindwa kujiajiri anaenda jela miaka minne


Jiandae Kwa hilo
Mbona waonekana uko na hasira sana, tuuuulia mzeee jibu swali kwanza

Umeajiriwa au umejiajiri?
 
Kuna mmoja kataka kunitapeli humu namsitiri.Kanitumia picha ya kike huku yeye wa kiume,makosa tu ni baada ya kutangaza nilivyopata utajiri kwa mganga wa kienyeji.Mkae chonjo humu kuna matapeli wa hali ya juu
 
Kuna mmoja kataka kunitapeli humu namsitiri.Kanitumia picha ya kike huku yeye wa kiume,makosa tu ni baada ya kutangaza nilivyopata utajiri kwa mganga wa kienyeji.Mkae chonjo humu kuna matapeli wa hali ya juu
Huyo sio tapeli ni yule mganga anakuja kuchukua fedha za utajiri aliokupa...
 
Kuna mmoja kataka kunitapeli humu namsitiri.Kanitumia picha ya kike huku yeye wa kiume,makosa tu ni baada ya kutangaza nilivyopata utajiri kwa mganga wa kienyeji.Mkae chonjo humu kuna matapeli wa hali ya juu

Alaf ni wahitimu wa chuo hawana kazi, yaani wamejawa na utapeli tu
 
Idadi ya wasomi Tanzania ni chache sana sema tu kuna kitu hakipo sawa kwenye employment creation system.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hakuna kozi mbaya,na sio lazima ulichosomea ukifanyie kazi,kuna vingi sana vya kufanya nje ya elimu zetu ni kujiongeza tu.
 
Jiajirini acheni ujingaa jitu tangu limalize chuo lina miaka 10 nyumbani... wajinga nyie
 
Jiajirini acheni ujingaa jitu tangu limalize chuo lina miaka 10 nyumbani... wajinga nyie
Leo umepatwa na Nini,? sawa entrepreneurship wataifanyia kazi.
 
Ningekuona wa maana ,kama ungesema waweke utaratibu wa mtu kufanya kazi Miaka 10,then unapisha wenzio.
Hakuna anayependa, kukaa nyumbani tuu bure bure.Kazi ziwe za mkataba Kwa miaka 10 .
Mfanyakazi mwenye uzoefu wa miaka 10 anauzoefu mkubwa nao sikubaliani na wewe kwamba ampishe kijana anaetoka leo chuo
 
Ccm wao walishashindwa zamani kuleta maendeleo hakuna kitu ambacho ccm wanakihofia kutolewa madarakani

Ccm wanajua tayari nchi nyingi vyama vikongwe vilishakufa na ndio mana ccm wanatumia nguvu sana kujilinda hao vijana wa usalama wa taifa wameajiriwa lengo kubwa kuwadhibiti wapinzani wasichukue nchi

Wewe chama gani kila wakitaka kufanya mkutano lazima wahonge watu elfu tano tano ndio waje hizo hela wanazitoa wapi? Ccm hawawezi leta maendeleo kwa wananchi
 
Wewe kama ni mwachuo na upo tu mkuu kuna sheria itapitishwa hivi karibuni kuwa muhitimu wachuo akimaliza Chuo Na kushindwa kujiajiri anaenda jela miaka minne


Jiandae Kwa hilo
Unatombwaga na mbwa , MAKU wewe
 
Unatombwaga na mbwa , MAKU wewe

Wapumbavu wanahitimu chuo na hawana uelewa hata wa kujenga hoja wanatukana mitusi darasa la saba hawezi kutukana matusi sehemu ya kuongea point hamna kitu hapo bora ufe uoze mzoga tutumie kama mbolea au fuvu lako tufanyie experiment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…