Mleta mada naona unawajia juu wanachuo ?
Vipi wewe umejiajiri au umeajiriwa
Mbona waonekana uko na hasira sana, tuuuulia mzeee jibu swali kwanzaWewe kama ni mwachuo na upo tu mkuu kuna sheria itapitishwa hivi karibuni kuwa muhitimu wachuo akimaliza Chuo Na kushindwa kujiajiri anaenda jela miaka minne
Jiandae Kwa hilo
Pesa ya kujikimu utaanzisha biashara gani ? HovyoMaboom mliyatumiaje? Ovyoo mlishindwa kuyahifadhi mkajiajiri kupitia kujibana kwa maboom yenu
Huyo sio tapeli ni yule mganga anakuja kuchukua fedha za utajiri aliokupa...Kuna mmoja kataka kunitapeli humu namsitiri.Kanitumia picha ya kike huku yeye wa kiume,makosa tu ni baada ya kutangaza nilivyopata utajiri kwa mganga wa kienyeji.Mkae chonjo humu kuna matapeli wa hali ya juu
Kuna mmoja kataka kunitapeli humu namsitiri.Kanitumia picha ya kike huku yeye wa kiume,makosa tu ni baada ya kutangaza nilivyopata utajiri kwa mganga wa kienyeji.Mkae chonjo humu kuna matapeli wa hali ya juu
Idadi ya wasomi Tanzania ni chache sana sema tu kuna kitu hakipo sawa kwenye employment creation system.Kwenye hili hatutovumiliana, mmeenda kusoma na mmepata elimu inakuaje? Sasa mpo mitaani miaka inaenda tu.
Mmeshindwa kujiajiri?
Taifa haliwezi kuajiri watu wengi kiasi hicho.
Mnatakiwa mjiajiri wenyewe au waje wahindi na waarabu waje wawaajiri.
Mnatia aibu kazi kukaa mitandaoni kutapeli watu na elimu zenu uzushi za IT.
Jifunzenu hata kuanzisha vikampuni muipige kampan serikali!
nilijua una practical solution, kumbe upuuzi tuTatzo hizo pesa mkizipata mwezi tu mmeshazimaliza wakati ni pesa ya matumiz ya mda mrefu
Late badala ya rate. Noma sana, unathibitisha kuwa wewe una elimu ya kizushi kuliko graduates wote wa vyuo vikuu.
Alafu pili, nani kakuambia graduates wote wamesoma IT? Unataka mtu aliyesoma procurement atumie elimu yake kujiajiri? Au aliyesoma psychology anajiajirije na elimu yake? Kuna watu wamesoma BSc. In Mathematics na Bsc in Biology, hawa watafanya nini mtaani kwa kutumia elimu waliyopata chuoni?
Tatizo sio graduates, tatizo lipo wizarani ambapo wameruhusu course ambazo hazileti output kutoka kwa graduates.
Leo umepatwa na Nini,? sawa entrepreneurship wataifanyia kazi.Jiajirini acheni ujingaa jitu tangu limalize chuo lina miaka 10 nyumbani... wajinga nyie
Mfanyakazi mwenye uzoefu wa miaka 10 anauzoefu mkubwa nao sikubaliani na wewe kwamba ampishe kijana anaetoka leo chuoNingekuona wa maana ,kama ungesema waweke utaratibu wa mtu kufanya kazi Miaka 10,then unapisha wenzio.
Hakuna anayependa, kukaa nyumbani tuu bure bure.Kazi ziwe za mkataba Kwa miaka 10 .
Ccm wao walishashindwa zamani kuleta maendeleo hakuna kitu ambacho ccm wanakihofia kutolewa madarakaniSerikali pia inabidi ilegeze masharti ya kutoa passport vijana wetu waweze kutoka nje kirahisi na kwenda kutafuta maisha huko. Kuwarundika tu hapa ndani wakati ajira hakuna kuna faida gani? Kuna fursa huko nje Watanzania zinatupita kwa sababu ya ukiritimba tu na mambo ya ajabu ajabu yasiyo na maana. Hakuna sababu ni kwa nini kijana wa Kitanzania aliyesomea Kiswahili, kwa mfano, aendeshe bodaboda wakati Kiswahili sasa hivi ni hotcake dunia nzima na Wakenya ndiyo wanatamba huko nje sisi tupo tu pamoja na kwamba ndiyo tunaongea Kiswahili fasaha kabisa!
Wafungue mipaka. Vijana watoke nje wakapate exposure kuhusu dunia inavyokwenda. Waibe na teknolojia huko wakiweza. Waende wakapige boksi huko na maisha yaende. Rwanda, kama sikosei, diaspora wanatambuliwa kama mkoa wa sita kiutawala na wanachangia asilimia ya kueleweka katika pato la taifa kupitia home remittances. Hakuna sababu Tanzania iwe ya mwisho kwa kuwa na diaspora wachache zaidi katika nchi za ukanda huu wa Afrika.
Yaani sisi karibu kila kitu kigumu sijui kwa nini 😬😬😬
Unatombwaga na mbwa , MAKU weweWewe kama ni mwachuo na upo tu mkuu kuna sheria itapitishwa hivi karibuni kuwa muhitimu wachuo akimaliza Chuo Na kushindwa kujiajiri anaenda jela miaka minne
Jiandae Kwa hilo
Unatombwaga na mbwa , MAKU wewe