mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Dah! Tangu lini Simba akamkimbia Nyani?MIKIA MSITUKIMBIE RAUNDI HII
Ndio uwanja mzuri na pia pesa itapatikana.Haujamuelewa, jamaa anacho hoji ni kwanini katika michuano hii ya kombe la Azam Simba na Yanga wanapewa vipaumbele vya kucheza uwanja wa nyumbani kwenye mechi zao?
Hata fainali inatakiwa ipigwe kwenye dimba la maana.Huu ujinga wao wa kupeleka nusu fainali mikoani watuondolee
Mechi ya Pamba tusiichukule powa.Ratiba ya Kombe la Azam hatua ya robo fainali imetoka:
1. SIMBA VS PAMBA
2. YANGA VS GEITA
3. AZAM VS POLISI
4.COASTAl VS KAGERA
NUSU FAINALI:
Mshindi: SIMBA VS PAMBA anacheza mshindi: YANGA VS GEITA
Mshindi: AZAM VS POLISI anacheza mshindi: COASTAl VS KAGERA
Uwezakano ni mkubwa wa SIMBA na YANGA kukutana Nusu fainali
AbsolutelyYanga tayari kapita Paamba wakikomaa mikia lazima walale, tupe na viwanja mkuu, hiyo ya Pamba itakuwa Kirumba?
Geita ni timu ya mgodi wa GGM iko kwa kivuli cha serikali tu hiyo yanga ina uhusiano gani na GGM?Wakubwa wote watapita maana wanacheza na matawi yao (Mkubwa na mwanae)
Pamba atakula goli akikaa vibaya Ni mkono au wiki km MasauMechi ya Pamba tusiichukule powa.
Pamba atakula goli akikaa vibaya Ni mkono au wiki km Masau. Hawawezi kuisumbua Simba watoto wale.Mechi ya Pamba tusiichukule powa.
utajua hujuiDah! Tangu lini Simba akamkimbia Nyani?