TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Msisahau hawa watu, hawahitaji fomu m/kiti anayo majina yao tayari.
Mawaziri, manaibu, DC, RC wakurugenzi wote hao isingekuwa PIN wangetia NIA ila kwa sababu ya PIN wameponea shoka la wajumbe, hivyo wengi wa hao watakuwemo kwenye kinyanganyiro japo hukuona, sikia wakichekechwa na wajumbe.
Mawaziri, manaibu, DC, RC wakurugenzi wote hao isingekuwa PIN wangetia NIA ila kwa sababu ya PIN wameponea shoka la wajumbe, hivyo wengi wa hao watakuwemo kwenye kinyanganyiro japo hukuona, sikia wakichekechwa na wajumbe.