Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
kuna wapuuzi utasikia wanasifia sijui chizi gani limepambana na rushwa sijui chizi gani limerudisha hiki. Rushwa iliyotembea wakati wa kura za ndani ya CCM hata shetani hapendi. tuone sasa wakiwakata( 1. ) JUMATATU & JUMANNE
( AGOSTI 17- 18 / 2020 )
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 2. ) JUMATANO
( AGOSTI 19 - 2020 )
Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.
( 3. ) ALHAMISI & IJUMAA
( AGOSTI 20 -21 / 2020 )
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 4. ) JUMAMOSI
( AGOSTI 22 -2020 )
Halmashauri Kuu ya Taifa.