John Mrema alikuwa wa pili kura za maoni Jimbo la Segerea kupitia Chadema. Ilikuwaje yule mwanamama "mfia chama" alikatwa na kuletwa huyu John Mrema? Au kwa kuwa ni wa POTI?Mwenyekiti anaingia na majina yake hakuna wa kumuuliza ukihoji unafukuzwa uanachama..CCM NI MAJAMBAZI!
Uhuni tu wa CCM, Ingekuwa ni serious nafikiri tusingepata design za kina Msukuma na Kibajaji.Duuuh hizo ngazi hivi maana yake mgombea apitie hizo kamati hadi afike halmashauri kuu ndo atoboe au ni vikao vya kawaida?
wajuvi wa mambo nielimisheni
Hayatuhusuuuu[emoji119]( 1. ) JUMATATU & JUMANNE
( AGOSTI 17- 18 / 2020 )
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 2. ) JUMATANO
( AGOSTI 19 - 2020 )
Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.
( 3. ) ALHAMISI & IJUMAA
( AGOSTI 20 -21 / 2020 )
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 4. ) JUMAMOSI
( AGOSTI 22 -2020 )
Halmashauri Kuu ya Taifa.
chama la rushwa( 1. ) JUMATATU & JUMANNE
( AGOSTI 17- 18 / 2020 )
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 2. ) JUMATANO
( AGOSTI 19 - 2020 )
Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.
( 3. ) ALHAMISI & IJUMAA
( AGOSTI 20 -21 / 2020 )
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 4. ) JUMAMOSI
( AGOSTI 22 -2020 )
Halmashauri Kuu ya Taifa.
2020 mwisho wa ccmAsanteni kwa ccm kutoa ratiba,kuna wadau wanapitia mateso makubwa kisaikolojia bora wajue mojawapo.
Kwa vyovyote wateuliwa wote wameshajulishwa na wameshaanza harakati za kupanga wadhamini na taratibu zote ...na wameshapewa copy za form ili watakapoambiwa wakachukue inakua copy and past.( 1. ) JUMATATU & JUMANNE
( AGOSTI 17- 18 / 2020 )
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 2. ) JUMATANO
( AGOSTI 19 - 2020 )
Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.
( 3. ) ALHAMISI & IJUMAA
( AGOSTI 20 -21 / 2020 )
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 4. ) JUMAMOSI
( AGOSTI 22 -2020 )
Halmashauri Kuu ya Taifa.
Hata kama wakiwabana hao watu kwa muda, bado haitasaidia kwasababu wafuasi wao watachagua mgombea wa upinzani.Kwa vyovyote wateuliwa wote wameshajulishwa na wameshaanza harakati za kupanga wadhamini na taratibu zote ...na wameshapewa copy za form ili watakapoambiwa wakachukue inakua copy and past.
Otherwise wengine hawatowahi muda wa kurudisha na kuteuliwa tarehe 25. Kwani tarehe 26 kampeni zinaanza.
Na hapo wamebana muda ili wale watakaotemwa wasiende vyama vingine kwakua muda itakua umeisha.
Fomu za Ubunge na Udiwani hutolewa hapo hapo alipo mgombea mteuliwa SIYO NEC DODOMA. Kwa mantiki hiyo, wagombea wateuliwa watatajwa na Comrade Polepole siku ya Jumamosi tarehe 22/08/2020 saa kumi jioni na kesho yake kila mteuliwa atachukua fomu kwa DED au kwa Mkurugenzi wa Manispaa aua Jiji husika; atazijaza kwa kupata wadhamini 25 na kuzirudisha Jumatatu tarehe 24/08/2020 kabla ya tarehe 25/08/2020. Na kusubiri uteuzi wa NEC hapo hapo mkoani/wilayani/kata. Muda si mmbaya sana.Hawa jamaa form watachukua lini na watatafuta wazamini lini?
Mnataka kuwakata watu lakini mnawabana Ili wasi cross line na kwenda upande wa pili.
Roho mbaya,hakuna muda wa kijitetea.Rushwa sio tu tatizo,kuna hata Roho mbaya,wakiamua kukuchukia hata kama hujatoa rushwa wana ku DELETE mapema .Kwa vyovyote wateuliwa wote wameshajulishwa na wameshaanza harakati za kupanga wadhamini na taratibu zote ...na wameshapewa copy za form ili watakapoambiwa wakachukue inakua copy and past.
Otherwise wengine hawatowahi muda wa kurudisha na kuteuliwa tarehe 25. Kwani tarehe 26 kampeni zinaanza.
Na hapo wamebana muda ili wale watakaotemwa wasiende vyama vingine kwakua muda itakua umeisha.
Nimecheka kwakweli...JPM sio kama DJ MAKONYAGI MACHO KUMCHUDHI.Mwenyekiti anaingia na majina yake......hakuna wa kumuuliza ukihoji unafukuzwa uanachama..CCM NI MAJAMBAZI!
Sio kweli mbona Mimi kama Mkurugenzi wa Halmashauri fulani sijapata maelekezo hayo??Kwa vyovyote wateuliwa wote wameshajulishwa na wameshaanza harakati za kupanga wadhamini na taratibu zote ...na wameshapewa copy za form ili watakapoambiwa wakachukue inakua copy and past.
Otherwise wengine hawatowahi muda wa kurudisha na kuteuliwa tarehe 25. Kwani tarehe 26 kampeni zinaanza.
Na hapo wamebana muda ili wale watakaotemwa wasiende vyama vingine kwakua muda itakua umeisha.
John Mrema alikuwa wa pili kura za maoni Jimbo la Segerea kupitia Chadema. Ilikuwaje yule mwanamama "mfia chama" alikatwa na kuletwa huyu John Mrema? Au kwa kuwa ni wa POTI?