Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
kuna wapuuzi utasikia wanasifia sijui chizi gani limepambana na rushwa sijui chizi gani limerudisha hiki. Rushwa iliyotembea wakati wa kura za ndani ya CCM hata shetani hapendi. tuone sasa wakiwakata( 1. ) JUMATATU & JUMANNE
( AGOSTI 17- 18 / 2020 )
Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 2. ) JUMATANO
( AGOSTI 19 - 2020 )
Kamati ya Usalama na Maadili Taifa.
( 3. ) ALHAMISI & IJUMAA
( AGOSTI 20 -21 / 2020 )
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa.
( 4. ) JUMAMOSI
( AGOSTI 22 -2020 )
Halmashauri Kuu ya Taifa.
Vipi itakuwa live au ?
Hilo haliwezekani kabisaaa pole kwako maana jamaa anakuchekecha inaonekanaNgoja nimpe hongera kabisa Paul Makonda maana jina lake lipo mfukoni mwa Mwenyekiti
Weka rekodi yake mkuu angalau kwa ufupiNamuombea Sana Makonda apitishwe kuwa mgombea wa CCM Kgamboni..Ningefurahi Sana.Kgamboni tutakuwa tumepata BONGE LA MBUNGE kindakindaki wa CCM na ambaye Atakuwa mtetezi mzuri Sana kwa Wana-Kgamboni.Chuki binafsi KUHUSU Makonda tuziweke pembeni kwa sasa.Tuangalie uchapa kazi wake.
Ngoja nimpe hongera kabisa Paul Makonda maana jina lake lipo mfukoni mwa Mwenyekiti
Mwenyekiti anaingia na majina yake......hakuna wa kumuuliza ukihoji unafukuzwa uanachama..CCM NI MAJAMBAZI!
kuna wapuuzi utasikia wanasifia sijui chizi gani limepambana na rushwa sijui chizi gani limerudisha hiki. Rushwa iliyotembea wakati wa kura za ndani ya CCM hata shetani hapendi. tuone sasa wakiwakata
Ngoja nimpe hongera kabisa Paul Makonda maana jina lake lipo mfukoni mwa Mwenyekiti
Hapo inatafutwa Bikira kwenye wodi ya wazazi ukitoa vichanga vilivyozaliwa utafiti unandelea kwanza msubiri majibuchama la rushwa
Siku sote anahubiri kuwa toa nyingi upate nyingi. Hivyo analiishi neno analolihubiri.Kuna rafiki yangu alikuwa mjumbe huko kawe nasema hakuna mtu aliyegawa fweza kama gwajiboy kila mtia nia alitoa mzigo ila gwaj amevunja kwa kutoa nyingi
Ahahahahahahah! Kama Joyce Mukya? Basi sawa! Ahahahahahahah!Huyo mwanamama atakuwa viti maalumu
Namuombea Sana Makonda apitishwe kuwa mgombea wa CCM Kgamboni..Ningefurahi Sana.Kgamboni tutakuwa tumepata BONGE LA MBUNGE kindakindaki wa CCM na ambaye Atakuwa mtetezi mzuri Sana kwa Wana-Kgamboni.Chuki binafsi KUHUSU Makonda tuziweke pembeni kwa sasa.Tuangalie uchapa kazi wake.