........We gamba una matatizo gani? Chabruma kaanzisha uzi kule na katika watu ambao amewakaribisha kutoa updates ni pamoja na wewe, nini kimekukuta hadi umeamua kujaza server ya JF?.
Kutokana na mtazamo, uzushi, propaganda zako za kishamba n.k, sitarajii kitu cha maana kutoka kwako ndani ya uzi huu. Nashauri watu waendelee kuleta updates kupitia uzi wa Chbruma ambae anaonekana kuficha hisia zake za kiitikadi tofauti na huyu gamba Simiyu Yao.