Ratiba ya bunge la katiba leo tarehe 18-3-2014.

Ratiba ya bunge la katiba leo tarehe 18-3-2014.

Simiyu Yetu, vipi Bwana 6 inamana alikurupuka kusema Warioba atapewa dak 60 za uwasilishaji??? Je, tuendelee kuamini kua Bwana 6 ni Mzee wa Viwango bado???? Vipi wale Mamluki wa CCM kuja Kuelezea mawazo ya Ki CCM Kuhusu Muungano mbona hujaelezea au hujajua muafaka ukoje?? na vipi kuhusu JK Atakuja kuzindua Bunge????
 
Wengine humu ni vibaraka na walamba viatu vya wanasiasa
 
........We gamba una matatizo gani? Chabruma kaanzisha uzi kule na katika watu ambao amewakaribisha kutoa updates ni pamoja na wewe, nini kimekukuta hadi umeamua kujaza server ya JF?.

Kutokana na mtazamo, uzushi, propaganda zako za kishamba n.k, sitarajii kitu cha maana kutoka kwako ndani ya uzi huu. Nashauri watu waendelee kuleta updates kupitia uzi wa Chbruma ambae anaonekana kuficha hisia zake za kiitikadi tofauti na huyu gamba Simiyu Yao.
 
Uzi kama huu tayari upo hewani, huna haja y kujitafutia umaarufu kinguvu. Mods, tupa kapuni huu uzi au uunganishe kule kwa Chabruma. Huyu jamaa atajaza server bila sababu za msingi.
 
Back
Top Bottom