Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,333
- 7,879
Mkuu, pana watu wa ajabu sana nchi hii. Ni sawa na ule msemo usemao 'kipofu akiona mwezi basi kila kitu atafananisha na mwezi'. Hawa hawabadiliki na hawataki kufahamu nje ya England pana soka murua sana kwengine.
Ni kweli kabisa mkuu, nje na EPL hakuna michuoano mingine mikubwa wanaofuatilia ki ukaribu si unaona hapo kuna waliouliza kwanini Brazil haimo