Ratiba ya kesho Jumatatu 🌄 Asubuhi watu watakuwa nyumbani kwao tabata changombe. Mwili utatoka mochwali utapitiliza kanisani Hautafika nyumbani

Ratiba ya kesho Jumatatu 🌄 Asubuhi watu watakuwa nyumbani kwao tabata changombe. Mwili utatoka mochwali utapitiliza kanisani Hautafika nyumbani

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Ratiba ya kesho Jumatatu 🌄

Asubuhi watu watakuwa nyumbani kwao tabata changombe.
Mwili utatoka mochwali utapitiliza kanisani Hautafika nyumbani
1732476436096.jpg
Utaenda kanisani kwa ajiri ya ibada.
Walio Nyumbani na watakao toka mochwali tutakutana kanisani, Baada ya ibada Ni safari ya kuelekea Tunduma kwa ajiri ya kumpumzisha mpendwa wetu.

Tujitokeze wapendwa kwa ajiri ya kumuaga mpendwa wetu.
 
Unaweza ukaweka taarifa kamili, binafsi sijui huyu ni nani na aliumwa au ilikuaje?
Mbona Kila siku naweka habar Zake pitia Uzi zangu zilizo pita,inshort alidondokewa apo kaliakoo na gorofa yeye na ndugu yake ndugu yake alipatikana siku ya kwanza AKIWA amefariki uyu amepatikana Leo akiwa ameshaanza kuharibika
 
Mbona Kila siku naweka habar Zake pitia Uzi zangu zilizo pita,inshort alidondokewa apo kaliakoo na gorofa yeye na ndugu yake ndugu yake alipatikana siku ya kwanza AKIWA amefariki uyu amepatikana Leo akiwa ameshaanza kuharibika
Ukileta taarifa andika taarifa ieleweke , sasa kama huwa unaleta taarifa zake unafikiri kila mtu huwa anafatilia kila uzi unaoleta?
 
Ukileta taarifa andika taarifa ieleweke , sasa kama huwa unaleta taarifa zake unafikiri kila mtu huwa anafatilia kila uzi unaoleta?
Mkuu Kila siku niwe naludia taarifa🤷🏽‍♂️
 
Ndugu zake wabalikiwe sana MUNGU awatie nguvu sana
 
Ukileta taarifa andika taarifa ieleweke , sasa kama huwa unaleta taarifa zake unafikiri kila mtu huwa anafatilia kila uzi unaoleta?
Hakika mkuu huyu jamaa nimejikuta nikiskip nyuzi zake baada ya kugundua anatubanikia chai furahisha genge
 
Hakika mkuu huyu jamaa nimejikuta nikiskip nyuzi zake baada ya kugundua anatubanikia chai furahisha genge
Taarifa za msing unaita chai,mkuu kama hii kichwa ndo uliitumia Kwa school basi haki Yako kua jobless
 
Back
Top Bottom