Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Unaweza ukaweka taarifa kamili, binafsi sijui huyu ni nani na aliumwa au ilikuaje?
Mbona Kila siku naweka habar Zake pitia Uzi zangu zilizo pita,inshort alidondokewa apo kaliakoo na gorofa yeye na ndugu yake ndugu yake alipatikana siku ya kwanza AKIWA amefariki uyu amepatikana Leo akiwa ameshaanza kuharibikaUnaweza ukaweka taarifa kamili, binafsi sijui huyu ni nani na aliumwa au ilikuaje?
Ukileta taarifa andika taarifa ieleweke , sasa kama huwa unaleta taarifa zake unafikiri kila mtu huwa anafatilia kila uzi unaoleta?Mbona Kila siku naweka habar Zake pitia Uzi zangu zilizo pita,inshort alidondokewa apo kaliakoo na gorofa yeye na ndugu yake ndugu yake alipatikana siku ya kwanza AKIWA amefariki uyu amepatikana Leo akiwa ameshaanza kuharibika
Mkuu Kila siku niwe naludia taarifaπ€·π½ββοΈUkileta taarifa andika taarifa ieleweke , sasa kama huwa unaleta taarifa zake unafikiri kila mtu huwa anafatilia kila uzi unaoleta?
Very veryama kweli maisha ni hadithi tu ya namna utakavo kufa
aise we have to stay humble
Kama huwezi kurudia taarifa uwe unaenda kufanya update kwenye uzi ambao tayari uliuanzisha ili ieleweke ni naniMkuu Kila siku niwe naludia taarifaπ€·π½ββοΈ
We shogaa umeinukua huku tenaKama huwezi kurudia taarifa uwe unaenda kufanya update kwenye uzi ambao tayari uliuanzisha ili ieleweke ni nani
Sawa good pointKama huwezi kurudia taarifa uwe unaenda kufanya update kwenye uzi ambao tayari uliuanzisha ili ieleweke ni nani
Hakika mkuu huyu jamaa nimejikuta nikiskip nyuzi zake baada ya kugundua anatubanikia chai furahisha gengeUkileta taarifa andika taarifa ieleweke , sasa kama huwa unaleta taarifa zake unafikiri kila mtu huwa anafatilia kila uzi unaoleta?
Taarifa za msing unaita chai,mkuu kama hii kichwa ndo uliitumia Kwa school basi haki Yako kua joblessHakika mkuu huyu jamaa nimejikuta nikiskip nyuzi zake baada ya kugundua anatubanikia chai furahisha genge
Habari haielewekiHakika mkuu huyu jamaa nimejikuta nikiskip nyuzi zake baada ya kugundua anatubanikia chai furahisha genge
Dogo naona umekimbilia police acha mambo ya kike kike hapa
PoaSawa good point