Ratiba ya kuagwa mwili wa hayati Rais Magufuli; Mikoa minne kuuaga mwili, kuzikwa Chato

Ratiba ya kuagwa mwili wa hayati Rais Magufuli; Mikoa minne kuuaga mwili, kuzikwa Chato

Vichwa vigumu
Pamoja na korona kuendelea kututandika,ni kama vile hatujifunzi chochote!

Badala ya kupunguza mikusanyiko ili kupunguza kiwango cha usambaaji wa kirusi ndio tunaongeza mikusanyiko.

Sisi ngozi nyeusi ni vichwa maji kwelikweli!
 
Msemaji Mkuu wa Serikali ameongea na Waandishi wa habari muda huu na kueleza kuhusu ratiba ya kuagwa kwa mwili wa hayati rais John Pombe Magufuli.

Mikoa ambayo ipo katika ratiba ya kuuaga mwili wa Hayati Rais Magufuli ni DSM, Dodoma, Mwanza na mazishi kufanyika Chato mkoani Geita.

Msemaji Mkuu wa Serikali Dr. Hassan Abbasi amebainisha hayo baada ya kikao kazi cha kupanga na kuratibu ratiba nzima ya kuagwa na mazishi ya hayati Rais John Pombe Magufuli. Kikao hicho kiliwahusisha mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu wa wizara.

Msemaji huyo wa Serikali amewataka wananchi wote kujitayarisha na kuendelea kutulia huku mipango yote ikiandaliwa.
Kujitayarisha kufanya nini?
 
Isingetosha kuaga DSM na Chato tu? Au Dodoma na Chato tu? JPM hakupenda matumizi makubwa ya pesa za walalahoi. Hiki kinachopendekezwa kufanyika sio "magufulification" kabisa
Kuna habari zinaendelea kuzunguka kuwa jamaa zake wa karibu kiofisi walishapiga 180 billion
 

😭😭Daah! hayo maneno hadi chozi limenibubujika
 
Huyu jamaa bado yuko ofisini?
Anapaswa afukuzwe kazi mara moja.

Yaani siku zote mzee haonekani hadharani, kumbe mzee anaumwa mahututi, yeye kakaa kimya, sasa mzee amekufa ndio anakuja kutupa ratiba ya mazishi.
Sasa ili iweje?
Maiti ina faida gani kwetu kuliko mtu mwwnye uhai?
Huyu na chalamila hawakutakiwa kuwa ofisini
 
Pamoja na korona kuendelea kututandika,ni kama vile hatujifunzi chochote!

Badala ya kupunguza mikusanyiko ili kupunguza kiwango cha usambaaji wa kirusi ndio tunaongeza mikusanyiko.

Sisi ngozi nyeusi ni vichwa maji kwelikweli!
Wacha waendelee kupunguza idadi ya watu nchini
 
Msemaji Mkuu wa Serikali ameongea na Waandishi wa habari muda huu na kueleza kuhusu ratiba ya kuagwa kwa mwili wa hayati rais John Pombe Magufuli.

Mikoa ambayo ipo katika ratiba ya kuuaga mwili wa Hayati Rais Magufuli ni DSM, Dodoma, Mwanza na mazishi kufanyika Chato mkoani Geita.

Msemaji Mkuu wa Serikali Dr. Hassan Abbasi amebainisha hayo baada ya kikao kazi cha kupanga na kuratibu ratiba nzima ya kuagwa na mazishi ya hayati Rais John Pombe Magufuli. Kikao hicho kiliwahusisha mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu wa wizara.

Msemaji huyo wa Serikali amewataka wananchi wote kujitayarisha na kuendelea kutulia huku mipango yote ikiandaliwa.
Bado mnaendelea kusambaza corona! Sawa ngoja tuone wagonjwa na vifo vikiongezeka kwa kasi
 
Pamoja na korona kuendelea kututandika,ni kama vile hatujifunzi chochote!

Badala ya kupunguza mikusanyiko ili kupunguza kiwango cha usambaaji wa kirusi ndio tunaongeza mikusanyiko.

Sisi ngozi nyeusi ni vichwa maji kwelikweli!
Mh uzalendo kwanza,mengine baadae
 
Nitamkumbua Magufuli kwa ukatili wake wa kutisha

1. Kuvunja nyumba za wananchi wa Kimara - Mbezi bila chembe ya huruma ila wale wa mwanza aliwaachia

2.Kupora Korosho za wananchi wa mikoa ya kusini kwa mtutu wa bunduki, hii hali iiwatia wananchi umasikini

3. Bila kujali kuwa watu wameshahudumu serikalini kwa muda mrefu na wanategemea kustaafu, akapitisha hoja ya uhakiki na kuwafukuza maelfu ya watu hao Huku akiwaacha bila kuwagusa wanasiasa na wateule wake katika hilo zoezi

4. Kubabikizia watu kesi za uhujumu uchumi, kuwatesa kupitia mfumo wa mashitaka na kuzisababishia familia zao maumivu makubwa na hali ngumu

5. Kuendelea kuwashikilia mamia ya masheikh walioko jela huku akisamehe wabakaji akina Babu Seya

6. Kukataa kuwapa watumishi wa serikai stahiki zao kwa wakati, ikiwemo kupandishwa madaraja na nyongeza za ishahara

7. Kuharibu chaguzi zote zilizofanyika chini ya serikali yake, kuanzia zile za marudio, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, Alidhuluu haki ya wananchi kuchagua viongozi wao

8. Magufuli alitunga sheria kandamizi, na kuvuruga misingi ya katiba. Kafanya kia jitihada kulifanya bunge liwe butu, kuiweka mahakama mfukoni etc

9. Magufuli alikuwa na kauli mbaya zisizo na staha mfano "sisomeshi wazazi, serikali siyo iliyoleta tetemeko, baki na mavi yako nyumbani, nitapiga mashangazi.. etc"

10. Alikuwa na miradi kadhaa au mpango wa miradi kadhaa ambayo ni white elephant mfano, uwanja wa ndege Chato, Midege,Mpango wa Uwanja wa mpira Chato

11..Magufuli alikuwa mdini, huhitaji kuwa mwanasayansi wa elimu ya jamii kuona kuwa teuzi zake ziliaia sana watu wa imani moja

12. Magufuli alikuwa haheshimu katiba waa sheria pale zinapokinzana na anachokitaka yeye, mfano haki ya kufanya siasa kwa vyama vya siasa iliyokuwepo kikatiba hakuiheshimu

13. Magufulu hakuthubutu na wala hakujali kufanya uchunguzi juu ya kupotea kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye na waliompiga risasi Lissu

Kwa hiyo mimi nakichukulia kifo cha Magufuli kama nafasi muhimu ili Taifa letu lipone.

Na sisi kama Taifa, tumeona kwa macho yetu namna katiba ya sasa ilivyokuwa hatari kama tunampata mtu mmoja asiyejali, ambaye ana element za udikteta, basi tuitumie nafasi hii kuliponya Taifa

Tangulia Magufuli, uwongo mbaya sitokumiss na sijawahi kukupenda kwa style ya uongozi wako, ninatamani Taifa lisipate Kiongozi mwenye mapungufu ya aina yako, ni mapungufu hatari kabisa
only for dunderheads
 
Msemaji Mkuu wa Serikali ameongea na Waandishi wa habari muda huu na kueleza kuhusu ratiba ya kuagwa kwa mwili wa hayati rais John Pombe Magufuli.

Mikoa ambayo ipo katika ratiba ya kuuaga mwili wa Hayati Rais Magufuli ni DSM, Dodoma, Mwanza na mazishi kufanyika Chato mkoani Geita.

Msemaji Mkuu wa Serikali Dr. Hassan Abbasi amebainisha hayo baada ya kikao kazi cha kupanga na kuratibu ratiba nzima ya kuagwa na mazishi ya hayati Rais John Pombe Magufuli. Kikao hicho kiliwahusisha mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu wakuu na manaibu makatibu wakuu wa wizara.

Msemaji huyo wa Serikali amewataka wananchi wote kujitayarisha na kuendelea kutulia huku mipango yote ikiandaliwa.
Alifia ule mkoa Mkuu wa upinzani. Ule ambao ilihakikishwa unakuwa demoted kuwa mkoa wa kawaida. Wabaya wake ndiyo wanaanza kumuaga.

Nawatakieni kuaga kwema.

Mipango ya mwanadamu si mipango ya Mungu.

Viongozi tutawaliwe na Busara.
 
Geita na Mwanza ni karibu karibu sana... Binafsi naona ingekuwa Mbeya, Dodoma Mwanza na Lindi... Geita isihesabike kwa vile ndo atakakozikwa
Huo mkoa wa Korosho!!!!! Jeneza kama halitaunguaa na kufuka Moshi basi litapasuka vipande#Ruangwa.
 
Back
Top Bottom