Ratiba ya mapishi ya wiki

Ratiba ya mapishi ya wiki

itategemea na ratiba yako zaid mkuu na ulaji wako, ila mimi nakushauri hivi.

J3. chai/maziwa + chapati 1/2 kulingana na ukubwa, mtori na chapati moja, supu, (au vyovyote upendavyo) mana inategemea je unapika au unaenda ktk mgahawa

Lunch: kula wali + mboga upendayo. Dinner: Ndizinyama + unaweza ukawa na kikombe cha chai/juice


J4: chai/maziwa + kitafunwa, supu, au mtori, au tambi + chai

Lunch: Ugali + mboga upendayo + mboga ya kijani. Dinner: Viazi nyama + mboga ya kijani - (juice, chai)


J5: Chai fuata mtiririko hapo juu + kitafunwa upendacho

Lunch: tambi zipike vizuri + maharage yaliyoungwa vizuri tamu sana hii kitu, au nyama ya kukaanga kidogo + chai/maziwa

Dinner: Pata wali/pilau (kama pilau utaweza itakaa vizuri sana) +mboga nzuri + mboga ya kijani


J6: chai as per the above.

Lunch: futali uipendayo iliyoungwa vizuri na tamu.

Dinner: Ugali + mboga nzuri + mboga ya kijani

J7: Chai amua tu plz vitafunwa ni wewe mwenyewe au supu au mtori nk.

Lunch: ndizinyama + maharage yaliyoungwa vizuri, tamu sana.

Dinner: pata pilau ya motooo kula lala.

J8: chai amua

Lunch: kama unaweza tafuta kitu simple ule, ndizi mzuzu + nyama kidogo, tambi + nyama choma, ukishindwa pata Ugali + mboga uipendayo + mboga ya kijani.

Dinner: Viazi nyama + maharage + mboga ya kijani.


J9: mtori /supu + chapati

Lunch: Makande please.

Dinner: ugali/wali/pilau.

NB: Kumpangia mtu ratiba ya msosi ni kazi nzito sana, mfano hapo ingekua mme wangu ungeinjoy maana ningepanga
hata ubloo, pia kuna baadhi ya vyakula sijaweka cozi nina wasiwasi we ni dume unaweza kuona ni kazi tu. pia

wengi tumekalili sana mchana ugali, usiku wali.

ila jitahidi usirudie chakula mara kwa mara, cha msingi jitahudi kwa wiki umekula walau vyakula vyovyote kwa
hivi vya kawaida, ukiachana na vile vya kihoteli hoteli zaidi.

wasalimie.
Looooooh!!! Naomba nikuoe dear!
 
Habarini humu ndani,

Familia nyingi za Kitanzania tumezoea kila siku ni lazima chakula kiwe ugali mchana, jioni wali. Naomba mwenye uelewa wa chakula bora atusaidie kupata ratiba ya wiki ya mlo kamili kwa ajili ya familia zetu.

Natanguliza shukrani
 
Habarini humu ndani,

Familia nyingi za Kitanzania tumezoea kila siku ni lazima chakula kiwe ugali mchana, jioni wali. Naomba mwenye uelewa wa chakula bora atusaidie kupata ratiba ya wiki ya mlo kamili kwa ajili ya familia zetu.

Natanguliza shukrani
Screenshot_2016-08-21-18-06-31.jpg
Screenshot_2016-08-21-18-06-38.jpg
Screenshot_2016-08-21-18-06-46.jpg
 
Chai ?menu ya kibongo Inajulikana chai
maandaz,vitumbua,chapat,mihogo /viazi vya kuchemsha,kiporo cha wali/ndizi kama MTU Yuko vizur supu mbuz,ngo'mbe,kuku kwa ndizi za kuchemsha au chapat hainaga bwembwe za kina weetabix na cornflakes ila k.ukwel inabid tujitahid angalau na vimatunda wabongo wenzangu hiyo asubuh ili kuongezea virutubisho maana b.fast kwa mbongo wa kawaid iko very serious.
 
na huwa napika mwenyewe

Nakushauri usiku usipende kula chskula kizito kama ugali.ni marufuku labda kams unafanya kazi ngumu sana.pendelea kula matunda na mboga mboga au kama unakula hicho chakula kizito,basi jitahidi ule kabla ya saa moja ili ukienda kulala usiwe umeshiba.asante
 
nimepapenda hapo kwenye ngararum a.k.a makukuru

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]kitu cha makukuru aise.umenikumbusha bibi yangu alikuwa anapenda kuyapika anayasonga hayooo..kitu ukinywa nacho [emoji477]️ leo asubuhi,mpaka kesho yake mchana bado umeshiba.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakushauri usiku usipende kula chskula kizito kama ugali.ni marufuku labda kams unafanya kazi ngumu sana.pendelea kula matunda na mboga mboga au kama unakula hicho chakula kizito,basi jitahidi ule kabla ya saa moja ili ukienda kulala usiwe umeshiba.asante


Kwa kweli, Ugali ulinishinda kula mchana lazima nisinzie. Hapo ukute mtu kapiga breakfast kitu chapati mchuzi au mtori. Halafu mchana ugali, sijui wanaweza vipi ku survive siku nzima kazini bila kusinzia.
 
Kwa kweli, Ugali ulinishinda kula mchana lazima nisinzie. Hapo ukute mtu kapiga breakfast kitu chapati mchuzi au mtori. Halafu mchana ugali, sijui wanaweza vipi ku survive siku nzima kazini bila kusinzia.
Atasinziaje kazini wakati hana kazi??
 
itategemea na ratiba yako zaid mkuu na ulaji wako, ila mimi nakushauri hivi.

J3. chai/maziwa + chapati 1/2 kulingana na ukubwa, mtori na chapati moja, supu, (au vyovyote upendavyo) mana inategemea je unapika au unaenda ktk mgahawa

Lunch: kula wali + mboga upendayo. Dinner: Ndizinyama + unaweza ukawa na kikombe cha chai/juice


J4: chai/maziwa + kitafunwa, supu, au mtori, au tambi + chai

Lunch: Ugali + mboga upendayo + mboga ya kijani. Dinner: Viazi nyama + mboga ya kijani - (juice, chai)


J5: Chai fuata mtiririko hapo juu + kitafunwa upendacho

Lunch: tambi zipike vizuri + maharage yaliyoungwa vizuri tamu sana hii kitu, au nyama ya kukaanga kidogo + chai/maziwa

Dinner: Pata wali/pilau (kama pilau utaweza itakaa vizuri sana) +mboga nzuri + mboga ya kijani


J6: chai as per the above.

Lunch: futali uipendayo iliyoungwa vizuri na tamu.

Dinner: Ugali + mboga nzuri + mboga ya kijani

J7: Chai amua tu plz vitafunwa ni wewe mwenyewe au supu au mtori nk.

Lunch: ndizinyama + maharage yaliyoungwa vizuri, tamu sana.

Dinner: pata pilau ya motooo kula lala.

J8: chai amua

Lunch: kama unaweza tafuta kitu simple ule, ndizi mzuzu + nyama kidogo, tambi + nyama choma, ukishindwa pata Ugali + mboga uipendayo + mboga ya kijani.

Dinner: Viazi nyama + maharage + mboga ya kijani.


J9: mtori /supu + chapati

Lunch: Makande please.

Dinner: ugali/wali/pilau.

NB: Kumpangia mtu ratiba ya msosi ni kazi nzito sana, mfano hapo ingekua mme wangu ungeinjoy maana ningepanga
hata ubloo, pia kuna baadhi ya vyakula sijaweka cozi nina wasiwasi we ni dume unaweza kuona ni kazi tu. pia

wengi tumekalili sana mchana ugali, usiku wali.

ila jitahidi usirudie chakula mara kwa mara, cha msingi jitahudi kwa wiki umekula walau vyakula vyovyote kwa
hivi vya kawaida, ukiachana na vile vya kihoteli hoteli zaidi.

wasalimie.
Ratiba nzuri sana, asante ulieiomba na ulieijibu nimepata na mimi ratiba ya chakula home kwangu
 
Chai ?menu ya kibongo Inajulikana chai
maandaz,vitumbua,chapat,mihogo /viazi vya kuchemsha,kiporo cha wali/ndizi kama MTU Yuko vizur supu mbuz,ngo'mbe,kuku kwa ndizi za kuchemsha au chapat hainaga bwembwe za kina weetabix na cornflakes ila k.ukwel inabid tujitahid angalau na vimatunda wabongo wenzangu hiyo asubuh ili kuongezea virutubisho maana b.fast kwa mbongo wa kawaid iko very serious.
wabongo weng pia 2po serious ndo mana[emoji23]
 
Back
Top Bottom