Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kampeni ya nini sasa.?Kwa hiyo picha za barabarani zinatosha kumfanyia kampeni.
Upoteze hela wakati unajua kabisa utapata zaidi 20%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampeni ya nini sasa.?Kwa hiyo picha za barabarani zinatosha kumfanyia kampeni.
OvaYupo NEC Dodoma anapitia rufaa za wagombea wa upinzani maana hali ni mbaya majimboni
Hii ni picha ya 2015.Huko Geita ni hatari, jamaa wamevunja rekodi, hapo ni jirani na mahali alipolala Lissu. Halafu utawasikia wale vichaa wanasema picha ya 2015.View attachment 1579105
Tundu hana kura za kumuibia, atapata kira harali na hakuna hata moja itaibiwa, na hatapata zaidi ya milioni 2Nasikia yameitana dodoma yamekesha usiku kucha yanajadili namna ya kuiba kura za Tundu Lissu kisayansi😒😒
Hiyo ni meseji tu kwa bwana yule, kuwa safari hii kazi anayo.Daah aisee mpk huo Usiku wana Geita walikua wanafanya nini hapo uwanjani mkuu?
Wametisha sana aiseee.
kuandika tu shida iyo "harari" ni kitu ganiTundu hana kura za kumuibia, atapata kira harali na hakuna hata moja itaibiwa, na hatapata zaidi ya milioni 2
wewe hatukutaki, kashabikia mabwana zako mnafki mkubwaTuconcentrate na chama chetu, ya ccm waachie wenyewe wazidi kujichanganya
Tetetete
Basi mwambieni aendelee kulala, ulaya kwenyewe pamoja na kuwa na flyovers 1000 bado huwa wanafanya kampeni, nyie baada ya kujenga ka mfugale kamoja mnaona hana haja ya kampeni.Kampeni ya nini sasa.?
Upoteze hela wakati unajua kabisa utapata zaidi 20%
Kiberiti n moyo vimegoma siku ya pili Sasa[emoji1]Magu katulia zake anasubiri kuapishwa washindwa wanahangaika angalau wapate 20%
Au wanafeed kwenye system majina na namba za wapiga kura wa uongo.CCM inafanya kampeni majini,ardhini na angani.
Usipoiona CCM juu ya majukwaa basi ajue wapo nyumba kwa nyumba.
mtaa kwa mtaa.
mtu kwa mtu.
uvungu kwa uvungu mpaka ushindi upatikane.
Magufuli apoteze mamilioni kwenye kampeni ya nini sasa wakati mshindani wake atapata kura asilimia 20 tu!Basi mwambieni aendelee kulala, ulaya kwenyewe pamoja na kuwa na flyovers 1000 bado huwa wanafanya kampeni, nyie baada ya kujenga ka mfugale kamoja mnaona hana haja ya kampeni.
They are designing dirty tricks.Wanatafakari cha kufanya/gia ya kuja nayo baada ya boss wao kuzomewa.
Kama anaona kampeni ya nini gharama ya mabango nchi nzima ya nini.Magufuli apoteze mamilioni kwenye kampeni ya nini sasa wakati mshindani wake atapata kura asilimia 20 tu!
Si umeona Membe alipojaribu kuingiza mguu kaona maji hana kina kirefu kaamua kukaa pembeni?
Nasikia ana mpango wa kumuachia Lisu ambae mpaka muda huu anaendelea kutapatapa huku na huko
Wooow. Sasa kama ana uhakika wa 80%, kampeni za nini. Si atulie asubiri kiapo? Maana kaanza kuahidi ambayo hayapo kwenye ilani yakeMagu katulia zake anasubiri kuapishwa washindwa wanahangaika angalau wapate 20%
Hujibiwa na wsjinga piaSwali la kijinga sana