Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Na anafanya niniKwenye ushindani wowote ni mhimu kufahamu mbinu za mpinzani wako pamoja na wapi aliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na anafanya niniKwenye ushindani wowote ni mhimu kufahamu mbinu za mpinzani wako pamoja na wapi aliko.
R. I. P ccm
Swali la kijinga sana
Kwani mada umeielewa?Wooow. Sasa kama ana uhakika wa 80%, kampeni za nini. Si atulie asubiri kiapo? Maana kaanza kuahidi ambayo hayapo kwenye ilani yake
Magufuli apoteze mamilioni kwenye kampeni ya nini sasa wakati mshindani wake atapata kura asilimia 20 tu!
Si umeona Membe alipojaribu kuingiza mguu kaona maji hana kina kirefu kaamua kukaa pembeni?
Nasikia ana mpango wa kumuachia Lisu ambae mpaka muda huu anaendelea kutapatapa huku na huko
Yani muda wote yuko bize kusikiliza spana za Tundu LissuYupo B .W .M hospital afya inamkataa ,pressure juu.
Na akianza kupata nafuu anasikia hekari 25000 za karagwe zirudishwe,ndio anachoka kabisa.
Kwa mwenye taarifa please tufahamishane wengine huwa tunafuatilia mikutano ya wagombea wote hasa wagombea wa vyama vikuu vya CCM, CHADEMA na ACT.
Lissu yuko Geita.
View attachment 1579063
Magu katulia zake anasubiri kuapishwa washindwa wanahangaika angalau wapate 20%
Nasikia yameitana dodoma yamekesha usiku kucha yanajadili namna ya kuiba kura za Tundu Lissu kisayansi😒😒
Ina maana CCM wanafanya kampeni siku 2 kwa wiki siku 5 wanapumzika.
Mzee sauti ilikata
Washindwe na waendelee kulegeaAtakuwa anajaza upepo kutoka katika yale mavibuyu yake ya asili.
Naona kila siku zinaongezeka tu....Tundu hana kura za kumuibia, atapata kira harali na hakuna hata moja itaibiwa, na hatapata zaidi ya milioni 2
Wamekata pumzi na wamelegea kwa sasa wamemupmba hadi mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi awasaifie kunadi sera za ccmIna maana CCM wanafanya kampeni siku 2 kwa wiki siku 5 wanapumzika.
endelea kujifariji mayangaMagu katulia zake anasubiri kuapishwa washindwa wanahangaika angalau wapate 20%
Yap mimi ni mayanga nakula mema ya nchi na Magu atashinda,endelea kujifariji mayanga