princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Mimi yani tunaangalia wote afu sio hata mbishi 😅 na niko positiveUnafuatilia boli mpaka raha,ukiwa na manzi kama wewe kuangalia mpira nje ya home upende kelele tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi yani tunaangalia wote afu sio hata mbishi 😅 na niko positiveUnafuatilia boli mpaka raha,ukiwa na manzi kama wewe kuangalia mpira nje ya home upende kelele tu.
Sio tu jua hakuna pitch siipendi kama ya Tabora /Sokoine /na ule sijui ali hassan wa Arusha aisee...Naangalia mechi ya Tabora hapa aiseee jua ni kali balaa... Kuna ulazima gani wa hii mechi kuchezwa muda huu? Leo kuna mechi 2 tu, kwa nini zote zisichezwe muda mmoja?? Hizi timu wakati mwingine zinakosa mapato kwa sababu kama hizi.