Ratiba ya NBC PL iangaliwe upya

Ratiba ya NBC PL iangaliwe upya

Naangalia mechi ya Tabora hapa aiseee jua ni kali balaa... Kuna ulazima gani wa hii mechi kuchezwa muda huu? Leo kuna mechi 2 tu, kwa nini zote zisichezwe muda mmoja?? Hizi timu wakati mwingine zinakosa mapato kwa sababu kama hizi.
Sio tu jua hakuna pitch siipendi kama ya Tabora /Sokoine /na ule sijui ali hassan wa Arusha aisee...
Timu za daraja la kati bwana wanaumia sana kama wako jeshinj
 
Back
Top Bottom