kati ya jkt na tabora atakae shinda nje ndani anarudi ligi kuu, alieshindwa anapewa nafasi nyingine kujipima kwa biashara united, kati yao ataeshinda anapanda ligi kuu, anaeshindwa anashuka Ligi Daraja la Kwanza.
ROUND 1
🕳️Tabora United vs Jkt Tanzania - 04/06/2024
🕳️JKT Tanzania vs Tabora United - 08/06/2024
ROUND 2
🕳️Biashara vs alieshindwa round 1 - 12/06/2024
🕳️Alieshindwa round 1 vs Biashara - 16/06/2024
ROUND 1
🕳️Tabora United vs Jkt Tanzania - 04/06/2024
🕳️JKT Tanzania vs Tabora United - 08/06/2024
ROUND 2
🕳️Biashara vs alieshindwa round 1 - 12/06/2024
🕳️Alieshindwa round 1 vs Biashara - 16/06/2024