Ratiba ya safari za ATCL kuelekea Chato Airport

Ratiba ya safari za ATCL kuelekea Chato Airport

2011 nilienda UK Mjin unaitwa Hereford nilioanda direct flight Dar to Hethow, British Airways !!!
Tulichelewa kuondoka dar kwa lisaa limoja niliona gharama BA walioipata kutu please!!! Nyie kima hii biashara kamwe hamtaiweza!! Ni suala LA muda tuuu MTA faili vibaya!! Kamati ya bunge uliisikia!? Hasara billion ngapi!? Nenda jando upate akili hilo kono LA sweta unafuga uchafu na kukosa akili mfuasi wa jiwe wewe!!
Huna akili ya kwenda Uingereza wewe
 
Huna akili ya kwenda Uingereza wewe
Hahaaahaaa !!! Pole sana nimekanyaga mahali ambapo hata uendelee kutolewa marinda hufiki!!!nimekaa Hereford na redding !!! Kaka Mimi sio kama jiwe !!! Mm lugha yapanda shehee!!! Mimi sio kilaza brooo !!! Lofa wewe
 
Hawataki kukubali kuwa mungu mtu alifeli. Upendeleo wake umeishia hapo.
 
Unafikiri wakosoaji wote lazima watoke moshi? Pole sana na mambo yenu ya ukanda.
Stupid brain classify locality and opportunity. But brave brain use opportunity. Chato is an opportunity.
 
ATCL inatua Chato mara tatu kwa wiki
 
Na ATCL Wana Booking office kabisa pale Chato nimewahi kuziona pale lakini mtu anatema nyongo hapa kuwa uwanja umegeuzwa kuanikia mpunga.

Wabongo wanafika sana.
Sasa nani anapanda ndege hapo chattle ? Kaleman pekeyake?!
 
Sasa nani anapanda ndege hapo chattle ? Kaleman pekeyake?!
Timu gaidi meno yote nje kwa furaha kwa sababu hao boda boda na bajaji vyuma vimelegea hela zitajaa mifukoni mwao baada ya kufukuzwa mjini
 
Back
Top Bottom