Ratiba yako ya kulala na kuamka ikoje?

Ratiba yako ya kulala na kuamka ikoje?

Namka saa nne na nusu,naanza kazi saa sita mpaka mbili,saa tatu na nusu narudi nyumbani na kuendelea kufanya kazi kwenye kompyuta mpaka saa saba usiku au saa zingine mpaka asubuhi.
 
Back
Top Bottom