Ratiba yangu ya leo kwenda kuangalia meli Ferry (unemployed).

Ratiba yangu ya leo kwenda kuangalia meli Ferry (unemployed).

Wakati unaangalia tafadhali uwe makini usije ukajaribu kujitosa sababu ya stress za ajira,kumbuka kundi la wasio na ajira ni kubwa, basi yakupasa kuvumilia kama wenzako huku mitaani,mapumziko mema. AJIRA NA MAPINDUZI YA VIWANDA YATAWEZEKANA
 
Umenikumbushaa wabongo huwaga tunashangaa hadi magredaa yanavyosembua barabaraa.au vile vijiko..unakutaa watu wazimaa anakataa hata masaa kushangaa....kweli vyuma vimekaza
Kuna mmoja yupo kule Buguruni darajani anaangalia magari yanavyopita akichoka anageuza Home.
 
Kweli kbisa huu ndyo wasaa wa kutembelea maeneo tofautitofauti ndani ya mji anaoishi maana cku akipata kazi hatakuwa na mda uwoo zaidi ya majukumu kumuandama
Hata kua jobless sometimes husaidia....utakuja pata mlejesho baadae...si laima auze karanga au mayai...kama yeye anaona ananufaika japo tu kwa kuangalia mazingira ipo siku atapata wazo zuri kuhusu hayo hayo mazingira...ila kikubwa fanya kitu unapenda si mazingira au watu wakuforce kukifanya....over
 
Hello leo nitakuwa pale posta/ferry naangalia meli na pantoni zikipita ni pale pembeni ya kituo kidogo cha polisi kivukoni ukija unaweza kuniona...musio na mishe ya maana wenzangu hapa town tunaweza ungana nitakula Azam ukwaju, karanga then baadae nitatembea kuangalia mji kidogo na kupanda gari kurejea Home.
Mkuu hii post yako imenigusa mno, mimi kwa upande wangu naomba nikutume jambo hapo uendapo, tafadhali nichunguzie hicho kifaa chetu tukitumiacho kusafiria hadi mjini kigamboni, usiishie kukaa ufukweni tu naomba upande chomboni, angalia vizuri mwenendo wake, milango yake, wahudumu wake, hitilafu zake na abiria wake. Angalia pia huduma za dharura zilizopo karibu yake, angalia viokozi vyake, watendaji wake, hatari zake na kila unachokitilia mashaka na ukiwasilishe hapa jukwaani ili kifanyiwe kazi na maboresho, pia wakati ukiwa umeshuka na kupumzika kwani jikumbushe kidogo kwa kufuatilia tukio lenye kuhuzunisha linalofanana na nilichokutuma hapo, ndugu zetu jirani zetu hawakuwa wamejiandaa vyema juu ya kukabiliana na ajari na majanga ya ghafla yanayofanana na utakachoenda kuchunguza uko. Zingatia na utuletee taarifa Mkuu.
 
Naulizaa hivi bado wanaruhusu kukaa lile jumbaa jeupee kwa nyumaa.karib na ocean road....?cijapitaa mudaa kule toka awamu ya 4..japo kipindi kilee nilipokuaa nahusstlee nlikuaa naenjoy sana upepo wa kulee..na marafiki nilipataa kulee..
 
Naulizaa hivi bado wanaruhusu kukaa lile jumbaa jeupee kwa nyumaa.karib na ocean road....?cijapitaa mudaa kule toka awamu ya 4..japo kipindi kilee nilipokuaa nahusstlee nlikuaa naenjoy sana upepo wa kulee..na marafiki nilipataa kulee..

😂 😂 kulebana tumefukuzwa ndio tumeamia huku wengine wameamia Coco huko wachache wameamia mabalabalani kushangaa matrekta maana meli zenyewe zikuhizi hazitoshelezi idadi ya washangaaji ndio tumejigawa.
 
[emoji23] [emoji23] kulebana tumefukuzwa ndio tumeamia huku wengine wameamia Coco huko wachache wameamia mabalabalani kushangaa matrekta maana meli zenyewe zikuhizi hazitoshelezi idadi ya washangaaji ndio tumejigawa.
Hahahahaha..daah..ilaa maishaa haya..achaa tu..kipindi kilee nlikuaa nikiendaa kulee mchana napiga kashataa tu mchana..ciku inakuaa imepitaa..il a kukosaa kazi ni kazi piaa jaman
 
Umenikumbusha ktambo wakati Nipo fORODHANi kwa sisi primary tuliosomea. Kijijin ndo yalikuwa maeneo yetu hayo ,tunakaa kwenye hzo kokoto then tunadandia MV magogoni kwa wanafunzi ilikuwa no buuuure basi hapo ni mwendo wa kwenda nalo na kurudi mpaka tutosheke.
 
Hata kua jobless sometimes husaidia....utakuja pata mlejesho baadae...si laima auze karanga au mayai...kama yeye anaona ananufaika japo tu kwa kuangalia mazingira ipo siku atapata wazo zuri kuhusu hayo hayo mazingira...ila kikubwa fanya kitu unapenda si mazingira au watu wakuforce kukifanya....over
Chukua Like Mkuu
 
Hako kasimu Kako ungekauza hata kwa elfu 20 ungepata mtaji wa kununua karanga za kukaanga au tray ya mayai ukachemsha ukaanza kuuza ukaondokana na u jobless wa kwenda kushangaa Meli ferry.
Kamata Dislike Mkuu
 
Hako kasimu Kako ungekauza hata kwa elfu 20 ungepata mtaji wa kununua karanga za kukaanga au tray ya mayai ukachemsha ukaanza kuuza ukaondokana na u jobless wa kwenda kushangaa Meli ferry.
Kutembea napo ni fursa pia sio lazima tuuze ma karanga kama uwazavyo wewe.
 
Ajira hutengenezwa na mifumo imara iliyowekwa kuwezesha watu kujiajiri na kuajiliwa..

Maarifa hujengwa kwa kuweka mfumo bora wa shule utakaotoa watu bora watakaopambana na kasi ya dunia..

Lishe bora kwa watu ni mfumo uliondaliwa madhubuti kwa kuangalia utamaduni, na historia ya watu ili kutengeneza viumbe bora watakaoishi miaka mingi na wenye akili.

Matibabu ni mfumo uliowekwa kwa jamii husika toka mtu anapozaliwa mpaka uzee ili kutengeneza jamii yenye afya na kuwa na Taifa lisilo na watu wagonjwa wagonjwa lakini pia wenye akili, maradhi hushambulia ubongo..

Mwenyezi Mungu ametupa maarifa na kutuumba kama viumbe bora duniani ili tuitawale dunia kwa kutumia maarifa aliyotupa, Mungu ni mwingi wa rehma yapaswa tumuombe sana..

Viongozi wetu hasa huku Africa wanafikiri vitu huja tu kwa bahati mbaya kama mzuka bila settings kwa kutumia maarifa aliyotupa Mwenyezi Mungu..

POLE SANA JAMAA YANGU YATAPITA TU HAYA NA KUWA HISTORIA..
 
Mimi hii ni siku ya tatu sasa ninalala na kushinda kwenye Uzi wa mshana wa kuselfika!
Hela yangu ya nauli nimeweka bundle nishinde huko
 
Back
Top Bottom