Ratiba za masomo kuongezewa muda wa masaa mawili kutakuwepo na malipo ya ziada kwa walimu?

Njaa kwa watoto na Usafiri mida hiyo unaanza kuwa shida ...
 
Kwa sie ambao muda wa kutoka kazini ni saa 10:30 hakuna kilichobadilika. Na bahati nzuri watoto hupata uji na lunch shuleni.

Taabu ni kwa zile shule ambazo hazina utaratibu wa chakula, hapo ndipo ninapowawazia hawa watoto!!!
 
Hata Kama magu ni boko jamani muwe na shukrani miezi mitatu kawalipa huku mnaendesha miradi yenu khaaa
Hakuna kipengele cha CORONA kwenye mkataba....umenitoa kwangu Mwanza umenileta Tandahimba kwa mkataba wa kudumu..nikae kituoni nifanye kazi...kulipwa ilikua na lazma ndo maana alishajibia hilo kuwa hata Corona ingekaa kwa miaka 10 angetulipa...Mbona nikiugua hata miez 6 huwa nalipwa kwani ugonjwa nimejipa Mimi??
 
Zamu yenu kuisoma namba,

Km mlikuwa mnaona raha kula vya Bure, Sasa mtavilipa, wale mlioenda kulima mtajiju, hakuna mapumziko babaaa, ngoma hd 12
 
Hahahah watu wanawaponda walimu hapa nyie hamjui aisee hio ratiba itachingia utoro mashuleni [emoji3][emoji3][emoji3]

Saa 8 tu Kuna wanafunzi wanapaona mbali sana sauze as 10 halafu unakuta home hapewi hata shilingi kumi

Kuna wanafunzi wako standby na saa na kengele[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Daah walimu watakoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unafikiria kwa umakini hiyo miezi mitatu imefidiwa na itafidiwa kwenye likizo zijazo ,mantiki ya kua tulipokea mshahara wa bure haipo ,pia kwenye halmashauri yangu tulikua tukitoa mazoezi na kuyasahihisha
 
Hata Kama magu ni boko jamani muwe na shukrani miezi mitatu kawalipa huku mnaendesha miradi yenu khaaa
Kua muelewa usiwasikilize wanasiasa muda huo utakatwa likizo ,mwezi wa nne kunakuaga na likizo ya wiki mbili ,wa sita mwezi mmoja ,wa 9 wiki mbili halafu desemba shule zitamaliza muhula desemba 18
 
Walipwe overtime ya nini, mbona wamelipwa miezi mitatu bila kufanya kazi, na mwezi wa tatu walifanya nusu mwezi wakalipwa full[emoji848]
Ukiwa likizo hulipwi mshahara ? Muda uliopotea utafidiwa kwenye likizo kama ulimsikiliza vzuri mwalimu
 
Wakati wa likizo ya Corona mbona hamkusema msilipwe? Pigeni kazi
 
Huo muda utafidiwa kwenye likizo ,kwa iyo ukisema walimu walipokea mishahara ya bure sio sahihi
 
Masaa mawili machache wangeongeza 3.
mimi nitapiga kazi hadi saa tatu usiku.
 
They have been paid in advance mbona? Three months
 

Tafuta njia nyingine ya kuelezea matatizo yako na namna ya kuyatatua ama sivyo " Mpiga ngumi ukuta huumiza mkonowe" binafsi nilishaona Mwalimu kijana sana ametoka chuo akataaka kuweka ujinga kwenye kazi za serikali kwa kudharau maazimio ya kamati ya Afya ya Kijiji mwisho wake alipata miezi yake sita safi gerezani na alipotoka aliishia kwao huko Musoma na dunia haikusimama
 
Nipo nafanyia utafiti Nadharia ya UALIMU NI WITO na hivi karibuni nitakuja na andiko,.. linalothibitisha kua kweli Kada hii ni Wito....
Mwl WA Chemistry na Biology .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…