Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 513
Atashinda ,How?
Judges know.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atashinda ,How?
Kushinda au kuachiwa huru? Kwani aliyeshtakiwa ni nani, Ray au huyo dada?
Psychological problems huyu dada anayo! Kwa wasiojua kuna tetesi babake mzee kimambi alikuwa anajishughulisha na ujenzi, alikuwa malaya anatembea hadi na wake za watu. Kuna mtu alimtegea tego akamnasa na mke wake ikabidi jamaa aliyeibiwa mke aje na baunsa aliyekuwa ameathirika kwa UKIMWI, Mzee kimambi aliingiliwa kinyume na maumbile na huyo mtu ambaye alimwonyesha na cheti cha +ve HIV. Then akaachiwa alipotoka pale baada ya muda akaenda kupima na kujikuta anao hivyo akajiua nyumbani kwake mwenyewe. What a pity! I think this hunts her she's not herself jamani huyu dada anawafagilia wenzake walioolewa/kuzaa na wadhungu km yeye. Na mbaya zaidi huponda wanaume wa kibongo eti "hawajui mapenzi na kujali"
So what do you want to comment!!!!.........Ray has anything to answer in regard to the allegations in court of law??Point ya Ray inaitwa 'pointless' kwani hata ndugu wa damu - baba mmoja, mama mmoja proven by DNA - wanauwana; sasa ijekuwa marafiki tu!!!!!!!
Point ya Ray inaitwa 'pointless' kwani hata ndugu wa damu - baba mmoja, mama mmoja proven by DNA - wanauwana; sasa ijekuwa marafiki tu!!!!!!!
Yaani u-turn inasomwa around the globe? Mbona mie siisomi? Ray anampaisha tu huyu mwanamke, role model wa wanawake useless kama yeye mwenyewe! Mi naulizaga what does she do for a living? Kama ni mfanyabiashara anauza nini tukamuungishe?!
Paxman likes this
hivi jamani in one way or another lazma KANUMBA ATAONGELEWA TU humu ndani! hivi ni kweli hakuna important issues to discuss apart from this issue! realy BORING, DISSAPOINTING!
If it bores u what next?
Nakushauri hama thread au funga Jf mpaka utakapokuwa not bored!
Ray ndo anakurupuka,atampa promo zaidi huyo mdada na globe yake,,the best way ilikuwa ni kukaa kimya tu na kumpotezea,after time kila kitu kingekuwa kimya
mange laizma ile kwake.....hawezi kumhukumu mtu hadharani...ray ni celebrity anauza muvi..jina lake limechafuliwa kichizi...Nimechoka na hizi taarifa za uzushi kila siku,badala ya watu kufanya mambo ya maana tunakaa na kuanza kujadili vitu ambavyo hatuna uhakika navyo.
Hivi tukiwa na subira na kuiachia polisi na mahakama vifanye kazi yake tunakosa kitu gani?
..afu mods wameibandua ile thread inayozungumzia post yake...maana na yeye kaibandua.....