aiseee mods nao bana.....sijui kwanini wameibandua humu??
Pale kwake kuna mtu kaibandika tena, in form of a comment. Ame-quote nzima nzima. Itakula kwake
Makubwa! Kanumba alivyofariki huyo dada aliandika kwenye blog yake kua hajawahi kumuona kanumba live,wala kuongea nae kwenye simu na wala hajawahi kuangalia movie zake sasa how comes ndo wa kwanza kuacuse watu kuhusika na kifo cha great kwenye blog yake?..
Nilisikia Ray alivyoongea. Nadhani bwana mdogo hana washauri ukishakuwa ''staa'' namna hiyo na ukubwa wa tuhuma hakupaswa kujibu vile. Maana yeye katuhumiwa kumuua Kanumba bali ya kujibu hoja kirahisi vile na kumshambulia mtoa tuhuma alitakiwa ajibu na kuonyesha kiasi gani yule dada ni mwongo....a justify kwanini hauhusiki na kifo kile. Kwenye posti ile ya Rutta tuliuliza hayo maswali ilikuwaje baadhi ya wasanii wafike nyumbani kwa Kanumba usiku ule?
Ray siku nyingine sio lazima uongee radio moja kwa moja kaa na watu andika maelezo yako kisha uyasome kuliko ulivyofanya jana......argumentum ad hominem
IQ yake ni ndogo sana Ray, yuko kwenye game kwa kubahatisha ndio maana anabebwa bebwa tu . hayuko analytical
Duh! hizi data nilipata kama sikosei ni kigoma. marehemu alikuwa anajenga jengo fulani maarufu kielimu.Psychological problems huyu dada anayo! Kwa wasiojua kuna tetesi babake mzee kimambi alikuwa anajishughulisha na ujenzi, alikuwa malaya anatembea hadi na wake za watu. Kuna mtu alimtegea tego akamnasa na mke wake ikabidi jamaa aliyeibiwa mke aje na baunsa aliyekuwa ameathirika kwa UKIMWI, Mzee kimambi aliingiliwa kinyume na maumbile na huyo mtu ambaye alimwonyesha na cheti cha +ve HIV. Then akaachiwa alipotoka pale baada ya muda akaenda kupima na kujikuta anao hivyo akajiua nyumbani kwake mwenyewe. What a pity! I think this hunts her she's not herself jamani huyu dada anawafagilia wenzake walioolewa/kuzaa na wadhungu km yeye. Na mbaya zaidi huponda wanaume wa kibongo eti "hawajui mapenzi na kujali"
Umenena mkuu hakana lolote, Ray kashikishe adabu kwa kukurupukia mambo yasiyomhusu.
hiyo miaka mi 3 utafungwa wewe, kumbuka mjinga akiwazach ndicho kimtokeachoAwe Fundisho huyo dada.. Kwani anaweza kuleta majanga kwa watu. Afungwe miaka 3 jela huyo dada.
umbea tu, huyu dada hajawahi kutoa kwenye blog yake kitu chochote kinachomuhusu muigizaji ray
Nilisema mange lazima ile kwake.....
afu mods wameibandua ile thread inayozungumzia post yake...maana na yeye kaibandua.....
Pliz pambana na Mange achana na habari ya Marehemu Babake. Respect the dead mydia.
hiyo miaka mi 3 utafungwa wewe, kumbuka mjinga akiwazach ndicho kimtokeacho
unajua chanzo au unadandia gari kwa mbele, ukitaka uhakika fungua blog ya u-turn tafuta sehemu aliyoandika kuhusu raya kama utaiona. nasoma mara nyingi hiyo blog cjawahi kuona amemtoa rayweng walimcheka wema kwa kutafuta umaarufu kwa kifo cha kanumba , je huyu mdada (mange) tumweke kwenye kundi gani??? je huo upuuzi aufanyao anajua gharama yake ??? nini kinampa kiburi??
unajua chanzo au unadandia gari kwa mbele, ukitaka uhakika fungua blog ya u-turn tafuta sehemu aliyoandika kuhusu raya kama utaiona. nasoma mara nyingi hiyo blog cjawahi kuona amemtoa ray
amekugombanisha wewe na mumeo? au chuki binafsiAswekwe tu Lupango kale kamalaya, kazi yake ni umalaya na uchonganishi tu.
mi sio mange ila ninauhakika kwenye blog yake hajawah kutoa habari inayomuhusu ray, no research no right to speak. mfyuuuuuuuuuuuYou again!!!?
I got the feeling your the one
I feel pity for you
Nakushauri umwobe msamaha ..this case is not good for you .
The odds are not in your side... you gonna spent some yrs behind bars
nina uhakika hajapost kitu kinachomuhusu ray, na kwa taarifa yako mange anapeta mtaani MTAJIBEBAJE?Umbea si uongo ni maneno ya siyokuhusu kwa sana tuu.........You not gonna fool anybody...kama amefuta uliza lawyer wako mashahidi wangapi wanatakiwa kusema alichopost ili atiwe hatiani...idadi hiyo itafika
Let her face the music ...you cant just wake up and get into peoples nerves!!! damn girl
If it bores u what next?
Nakushauri hama thread au funga Jf mpaka utakapokuwa not bored!