Ray C afungua mlango kwa Mwanaume yeyote anayetaka kumuoa

Ray C afungua mlango kwa Mwanaume yeyote anayetaka kumuoa

Me masharti yote sawa ila hilo la kukariri nyimbo zake zote, kwa kweli sidhani kama nitaweza maana hata wimbo wa taifa wenyewe unanishinda.

Ila duniani kuna vituko sijapata ona asee.
 
Yaani katumika hadi hakuna kilichobaki halafu anatafuta mume wa kumuoa kwa hayo masharti, huyu dada bado hajapona vizuri.
 
Mtu umetumika weee mbele nyuma,umepakatwa mpaka na vibabu eti leo unatafuta mume?
Ukipata mume kwa namna hii.Tafadhari kapime akili yake kujua kama sio kichaa
 
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha. Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
attachment.php

Rehema Chalamila ‘Ray C’

“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele! nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!

Ila naomba niwambie kabisa masharti;

1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze

2.Awe anapenda muvi za kihindi ili nikiwa na stress aniwekee nyimbo za kihindi maana ndio raha ya moyo wangu.

3.Asiwe muongeaji sana sababu huwa sipendi makelele.

4 Anipende na ubonge wangu huu asije akaanza kunambia baby anza mazoezi au dah baby zamani ulikuwa bomba au rudisha kiuno hapo hatutaelewana.

5.Awe ananipikia nikichoka maana navutiwa nikimuona mwanaume anapika.

6.Awe na Mimi muda wote maana na wivu sana ikiwezekana tufanye kazi ofisi moja au awe ofisi ijengwe hapo hapo nyumbani.

7.Awe mvumilivu maana nikiwa na hasira huwa naongea kwa sauti ya juu sana.
ray23.jpg

Rehema Chalamila ‘Ray C’

8.Asiwe na rafiki wengi,na akitaka kuonana nae na mi niwepo maana si mnajua wanaume tena wakikutana huwa wanashaurina mabaya.

9.Awe anajua nyimbo zangu zote ndio ntaamini kweli ananipenda.

10.Sharti la mwisho kabisa ambalo ni muhimu sana kwangu ni hili tuwe tunatumia simu moja na Namba moja, maana kanisani tunafundishwa kuwa ndoa maana yake tumeungana na kuwa kitu kimoja kwahiyo kama mume na mke tunalala pamoja kitanda kimoja na kuishi pamoja kwanini tusitumie simu moja!Sioni tatizo!

Kama una ndugu,jamaa.kaka,rafiki yuko single basi mjulishe tangazo hili huezi jua unaeza ukashangaa nimekuwa shemeji yako au wifi yako”.
Mimi nipo ila unaweza kotekote katika nanihii ile mida ya nanihii oohh sorry namaanisha unajituma ile mida ya usiku? ukizigatia wengine tumeishi Mombasa.
 
kwa sababu utakwenda kuuguza kansa ya ngozi na dawa za kupinguza uteja.Watoto nao kuwa wateja vilevile
 
Ray-C bado hajawa alright...nikicheki picha zake za selfie insta yale macho yake yana kila dalili za uwendawazimu..
 
Kama kuna mwanaume atampata basi atakua mwanasesere wake hahahah
 
Mwanaume anayekubali hayo masharti Anaoa au Kuolewa?
 
Ile dozi aliyokuwa analilia alipata?
 
Vigezo vyote 10 ni vya kijinga na kipuuzi. Inaonesha jinsi gani alivyo mweupe kichwani.

Hayupo tayari na hajajiandaa kuwa mke wa mtu.

Uteja bado unamsumbua.
 
Eti simu moja sijui laini moja!!!! Sasa nikisafiri kikazi hiyo simu tunaifanyaje?
 
Hahahahahahahaha aisfe dah ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni ,

Dah umeshakuwa historia tayari.
 
Hayo masharti yake anatakiwa yy ndio aoe,kwani wakati akiwa chicha alikuwa wp??anamaliza starehee zote ndio anakuja kutuenjoy hapa kwanza nna wasiwasi ameshapigiwa 0713.
 
Back
Top Bottom