Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Na ikumbukwe kuwa ukijikita kwenye matumizi ya ngada unakuwa uko na mazingira hatarishi ya magonjwa mengine.Dah! kiuno bila mfupa kinapotea hivi hivi watu wanaangalia tu,
Hapo ndo balaa zaidi ikizingatiwa kuwa shoshti akizima hata self service mboga zote kujisevia ni possible[emoji85]