Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

Tetesi: Ray C akimbizwa Muhimbili

msijarib haya madawa aisee,, sex tumeijaribu tumesindwa kuac na wengine addiction imezidi mpaka kwa michepuko, hii addiction inatosha, hayo madawa mnajitakia tu hizo addiction
 
msijarib haya madawa aisee,, sex tumeijaribu tumesindwa kuac na wengine addiction imezidi mpaka kwa michepuko, hii addiction inatosha, hayo madawa mnajitakia tu hizo addiction
Hahahahahahahahaha thankx!!!
 
Ruttashobolwa....
Naomba usifanye ligi na mimi katika hili please.
Mimi ninachokisema hapa nina uhakika 100%
Sijasikia kwenye vyombo vya habari, (hili Ray C hawezi kusema ukweli hata iweje) ni kupitia chanzo cha kuaminika ndani ya familia yake.

Mbona huwa anakataa hajarudia madawa ya kulevya?
Mtu kama huyo unamuamini vipi?
a ya
Hivi hujajifunza ulipoleta ligi na mimi kuhusu Ben Pol?
Mwisho ukasanda mwenyewe?
Mimi huwa sisemi vitu nisivyovijua,asante.
nifah, uko sahihi..lord eyez ni mshkaji wangu sana nimekaa nae kaloleni arusha...ninachojua alikuwa anavuta bangi sana unga ameanza kutumia baada ya kuwa na ray c....
 
nifah, uko sahihi..lord eyez ni mshkaji wangu sana nimekaa nae kaloleni arusha...ninachojua alikuwa anavuta bangi sana unga ameanza kutumia baada ya kuwa na ray c....
Asante
 
Na sisi wapenda kunyonya shisha

Huwa kiasi kidogo unga kinawekwa Na unavyovuta unasikia euphoria matata sana

With time, you are becoming an addict,sio kila mteja alianza actively,wengine huchanganyiwa kwenye sigara au vitu kama shisha
 
Na sisi wapenda kunyonya shisha

Huwa kiasi kidogo unga kinawekwa Na unavyovuta unasikia euphoria matata sana

With time, you are becoming an addict,sio kila mteja alianza actively,wengine huchanganyiwa kwenye sigara au vitu kama shisha
Sote twapenda starehe ............. lakini starehe zingine duhh.....
 
msijarib haya madawa aisee,, sex tumeijaribu tumesindwa kuac na wengine addiction imezidi mpaka kwa michepuko, hii addiction inatosha, hayo madawa mnajitakia tu hizo addiction
Naona hata spelling ni shida. Kunywa maji mengi nasikia yanasafisha damu, ngozi, figo na ini.
 
Me huwa nawaza kwa sauti!! Kwanini mateja wasikamatwe af wawekwe gerezani kazi ngumu, miaka 2 ukitoka ushasahau
 
Hilo dude lisikie tu... Lakini usijefikwa ima kwako au mtu wako wa karibu.

Watu na elimu zao, wasomi na hata wa kitaa...
Wana ndembendeka hivi hivi unawaona hatua kwa hatua mpaka wanakufa.
Huku kwetu ndio shida yaani mpaka huruma!
Na mwisho wao ni mbaya ma na wala bwibwi wanaambukizana ukimwi kijinga sana .. Either kwa sindano au kuolewa na pusha ili apate kete bure au na teja mwenzie amuinamishe halafu amnunulie kete !
Na akiwa arosto ndo utakoma kukutana naye anweza kuuwa kwa pesa ya kete tu!
Nashauri waletaji na wauzaji wakamatwe kisha
Na wao waanzishwe dozi , halafu waachiwe warudi uraiani kujifilisi wenyewe kama wanavyofilisika na kuadhirika watoto wa wenzao.
 
kwani ray c kinachomsumbua si madawa,,,,hapo hakuna lingine na sipati picha jk alivodisappointed baada ya ray c kuyarudia madawa kwa kasi.
 
Back
Top Bottom