Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
msijarib haya madawa aisee,, sex tumeijaribu tumesindwa kuac na wengine addiction imezidi mpaka kwa michepuko, hii addiction inatosha, hayo madawa mnajitakia tu hizo addiction
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahahahaha thankx!!!msijarib haya madawa aisee,, sex tumeijaribu tumesindwa kuac na wengine addiction imezidi mpaka kwa michepuko, hii addiction inatosha, hayo madawa mnajitakia tu hizo addiction
nifah, uko sahihi..lord eyez ni mshkaji wangu sana nimekaa nae kaloleni arusha...ninachojua alikuwa anavuta bangi sana unga ameanza kutumia baada ya kuwa na ray c....Ruttashobolwa....
Naomba usifanye ligi na mimi katika hili please.
Mimi ninachokisema hapa nina uhakika 100%
Sijasikia kwenye vyombo vya habari, (hili Ray C hawezi kusema ukweli hata iweje) ni kupitia chanzo cha kuaminika ndani ya familia yake.
Mbona huwa anakataa hajarudia madawa ya kulevya?
Mtu kama huyo unamuamini vipi?
a ya
Hivi hujajifunza ulipoleta ligi na mimi kuhusu Ben Pol?
Mwisho ukasanda mwenyewe?
Mimi huwa sisemi vitu nisivyovijua,asante.
Asantenifah, uko sahihi..lord eyez ni mshkaji wangu sana nimekaa nae kaloleni arusha...ninachojua alikuwa anavuta bangi sana unga ameanza kutumia baada ya kuwa na ray c....
Usidanganye watu mkuu, kitimoto ni antdote ya drugs?? Hapana si kwleilitakuwa linapiga lishe safi za kitimoto
Kuwa binadamu kidogo basiR.I.P
Sote twapenda starehe ............. lakini starehe zingine duhh.....Na sisi wapenda kunyonya shisha
Huwa kiasi kidogo unga kinawekwa Na unavyovuta unasikia euphoria matata sana
With time, you are becoming an addict,sio kila mteja alianza actively,wengine huchanganyiwa kwenye sigara au vitu kama shisha
Naona hata spelling ni shida. Kunywa maji mengi nasikia yanasafisha damu, ngozi, figo na ini.msijarib haya madawa aisee,, sex tumeijaribu tumesindwa kuac na wengine addiction imezidi mpaka kwa michepuko, hii addiction inatosha, hayo madawa mnajitakia tu hizo addiction