Kwa hiyo na ibra atafutukaaa
Upo negative sana jaribu kuvaa viatu vyake,usipende kuwakatisha watu tamaa hasa walioamua kubadilika na kuacha ubaya fulani,kwa nini ukumbushie matendo ya Misr kwa mtu anaekaribia Israel?wanawake wa bongo sijui kwa nini mnafurahia ku fail kwa mwenzenuHahhhhahha nasikia alivyokua akilewa hayo madawa yake watu walikua wanajipakuliaa tu mbele na nyumaa
Hahhhhahha nasikia alivyokua akilewa hayo madawa yake watu walikua wanajipakuliaa tu mbele na nyumaa
Hii haichekeshi mbona?!
Upo negative sana jaribu kuvaa viatu vyake,usipende kuwakatisha watu tamaa hasa walioamua kubadilika na kuacha ubaya fulani,kwa nini ukumbushie matendo ya Misr kwa mtu anaekaribia Israel?wanawake wa bongo sijui kwa nini mnafurahia ku fail kwa mwenzenu
Sipo kukufurahishaaa wala kukuchekeshaa hapaa
Wangekomesha wakubwa wanaoingiza madawa ya kulevya kwanza bila hivyo atatembelea mno hapo kigamboni mpaka tairi za gari zitaishaa
Sio mnene amevimba
Nimecheka sana.
Hahhhhahha nasikia alivyokua akilewa hayo madawa yake watu walikua wanajipakuliaa tu mbele na nyumaa
lazima ucheke kwa sababu wewe ni mnafiki
Unajua vitu vinavyowafanya wa relapse hawa ex mateja?ni kumbukumbu ndio ila ina faida gani?wewe utajisikiaje mtu akukumbushie kitu kilichokuaibisha kwa jamii?fake Id zisitutoe na ubinadamu dada!Ni maoni yangu na pia ipo wazii kwan uongo,si ameshapona kwani anaumwaaa,kafeli nini wakati karudi mzigonii kama kawaidaaa kumbukumbu hua haifutiki kamweee hata ufanyajee
Unajua vitu vinavyowafanya wa relapse hawa ex mateja?ni kumbukumbu ndio ila ina faida gani?wewe utajisikiaje mtu akukumbushie kitu kilichokuaibisha kwa jamii?fake Id zisitutoe na ubinadamu dada!
achana nae mlupo uyo,ni mwanga...
Unajua vitu vinavyowafanya wa relapse hawa ex mateja?ni kumbukumbu ndio ila ina faida gani?wewe utajisikiaje mtu akukumbushie kitu kilichokuaibisha kwa jamii?fake Id zisitutoe na ubinadamu dada!
achana nae mlupo uyo,ni mwanga...
Hizi forums zipo kwa ajiri ya elimu na burudani. Wewe mwenyewe kupost utumbo hapa ndio burudani yako.
Shangaaa wenye jamii yao wametuliaaa viberenge sasa macho kumchuzi mi naandika nitakavyo nacheka nitakavyo humu hakuna mama yangu wala baba yangu eti niogope majina fake na watu fakee watupishee ni ukweli alivyokua akilewaa watu walijiliaaa haswaaaaaa alikua akiyavutaa mbele ya machizi kibao alitegemea ninii na sio kaka zake