Ray C alimpomtembelea Ibra da Hustler kwenye kituo cha kusaidia watumia madawa ya kulevya

Ray C alimpomtembelea Ibra da Hustler kwenye kituo cha kusaidia watumia madawa ya kulevya

Upo negative sana jaribu kuvaa viatu vyake,usipende kuwakatisha watu tamaa hasa walioamua kubadilika na kuacha ubaya fulani,kwa nini ukumbushie matendo ya Misr kwa mtu anaekaribia Israel?wanawake wa bongo sijui kwa nini mnafurahia ku fail kwa mwenzenu

Umenena mkuu tujifunze kumpa sapoti mtu anaye au aliye onyesha nia ya kubadilika
 
ray si huwa ni cheusi mangala huu weupe ameutoa wapi? aachane pia na hii makitu la sihivyo itabidi ahitaji pia rehab ya kuacha mkorogo....
 
ray si huwa ni cheusi mangala huu weupe ameutoa wapi? aachane pia na hii makitu la sihivyo itabidi ahitaji pia rehab ya kuacha mkorogo....

inawezekana ikawa ni athari za dawa alizokuwa anakula.....
 
Back
Top Bottom