kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,470
Upo negative sana jaribu kuvaa viatu vyake,usipende kuwakatisha watu tamaa hasa walioamua kubadilika na kuacha ubaya fulani,kwa nini ukumbushie matendo ya Misr kwa mtu anaekaribia Israel?wanawake wa bongo sijui kwa nini mnafurahia ku fail kwa mwenzenu
Umenena mkuu tujifunze kumpa sapoti mtu anaye au aliye onyesha nia ya kubadilika