Abtali mwerevu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 665
- 515
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua anapenda sana wanaume masela! Kuanzia Majani, Mwisho hadi yule mla unga wa arusha!!
Ha ha haaa,ni kwamba 'common denominator' ya mambo haya yote ni pesa/money.Pesa yenyewe ni dhana feki kwa kuwa imeanzishwa kwa misingi feki na matumizi yake pia ukichunguza vizuri utagundua kuwa ni feki.Hakuna mantiki/'logic' yoyote inayofanya pesa ishuke au ipande thamani,mambo haya tuliyofundishwa mashuleni kwamba ndio yanafanya pesa ipande au ishuke thamani ni feki tu,wakubwa wa dunia hii wamekaa chini na kuweka kanuni za hisabati ili pesa ifuate kanuni hizo kwa malengo yao binafsi.Tunachokiona sisi ni kiini macho/'illusion' tu.
Sasa kwa kuwa pesa ndio mhimili wa kila kitu katika dunia yetu,ndio maana leo hii kila kitu hakiendi sawa kwa kuwa kila kitu kinategemea pesa kama 'common denominator';
-Madaktari wanaharibu misingi ya afya
-Wanasheria wanaharibu misingi ya haki
-Vyuo vikuu vinaharibu elimu
-Serikali zinaharibu misingi ya haki na usawa
-Vyombo vya habari vinaharibu taarifa
-Dini zinaharibu misingi ya kiroho
na mengine mengi.
Maisha tunayoishi sasa sio halisi,ni 'pre defined' na sheria ambazo misingi yake ni pesa.Chunguza sana utaona kwamba jinsi unavyoishi si vile ungependa wewe uishi.
Chukulia kama tutaweza kuindoa pesa kwenye 'loop' ya maisha yetu na kuweka rasilimali kama mbadala wake.'We don't need money,we need resources(food,water,education,good healthy,shelter,clothes etc),and we can get all these without money'.
Hahahaaaaa popoma bwana?
Wenye Hicho Kitengo Chao Uliowataja Wamekusikia Mkuu Kwani Mimi Ni MJASIRIAMALI Tu Nisiye Na Mbele Wala Nyuma Na Isitoshe Sipo Huko Kwenu Tanzania Sasa Ni Mwaka Wa 7 Na Nipo Kwetu Huku Rwanda Ila Nakumbuka Tu Baadhi Ya Sehemu Na Maeneo.
Wanajamvi,
Katika wasanii ambao nilitegemea wawe karibu sana na CCM ni Ray C...siongelei kiushabiki maana ni ukweli ulio wazi Ray C amesaidiwa sana na Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kiasi kwamba isingekuwa yeye Ray C angekuwa habari nyingine.
Lakini shida sasa nathibitisha kwamba amerudi kwenye Madawa ya Kulevya, inauma sana jamani...huo ndio ukweli na baadhi ya manesi wameshalitambua hilo.
Wanaoenda kuchukua dawa naye wanalitambua hilo!! Ray C pamoja na kipaji alichonacho angekuwa msaada mkubwa Kwa jamii hasa kwa walioathirika na janga la madawa ya kulevya lkn pia Kwa wanaotumia madawa hayo.
Tafadhali naomba asaidiwe upya huyu mpendwa wetu.
Asaidiwe nini tena huyu mpu..!! Ei...nilitaka tukana.
Huyu ni wakukamata na kuchapa fimbo nyingi then apelekwe mirembe.
barter trade is dead my friend. refer to double coincidence of want
halafu kumbe ni wewe mzee wa magumashi?
Deception
Nimekusoma mkuu ila sijui unazungumzia wakuu wa duniawa kipindi gani au karne ipi...kwa mtazamo wangu ni kweli uwepo wa pesa umefanya maisha yasiwe halisi na siku zinavyozidi kwenda uhalisia wa maisha ndio unapopotea lakini kwa nionavyo mimi ni kama dhana hii ya pesa imetokea mbali sana kihistoria kulingana na mafundisho ya dini (christian ninayoijua mimi) kiasi kwamba kinachotokea sasa hivi ni muendelezo tu na hakuna dalili yoyote ya kupotea au kupata mbadala wake...
Huoni kama kuna namna nyingine ya kufikiria ili kuchukulia mambo kwa mtazamo mwengine!? Kwa maana tukisema tukomae na dhana feki ya pesa (ambayo hatuwezi kuizuia kuendelea ku dominate milele yote) kua chanzo cha mambo mengi ambayo ni illusion ni kupoteza muda badala yake tugeuke na tufikirie ni JINSI GANI ya kuondoka katika huu ujinga wa kuendeshwa na hizi illusions..mkuu Deception sijui kama umenielewa....
Kuwaambia watu kitu flani ni illusion bila kumuelewesha "atatokaje" katika hilo giza ni kumpa mzigo ambao hatoweza kuubeba, kama mtu amekaa na dhana zaidi ya miaka 40 then wewe siku moja tu umwambie hiyo dhana ni kiini macho bila kumwonyesha upande wa pili ya shilingi ni kumuonea tu.
Madawa ni tatizo kubwa inafaa asaidiwe nina Mtoto katumbukia kwenye hiyo kitu, alikua anasoma Mlimani mwaka wa 3 sheria akatumbukia huko dadake ni Hakimu lakini tumeshindwa hili ni Janga tusaidiane
Mmmmmhh hii kali, asaidiweje huyu mtu? Siku zote kuna msemo usemao bila kuamua huwezi acha mwacheni akiamua ataacha.