warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Mmh mbea mimi toka nione ray c kaenda Paris nikajiliwaza huenda itakua vacation tu ya siku mbili then anarudi bongo tuendelee kula msoto wote, jaman nyie Mungu mkali, Mwaka sasa unakatika bibie Naona bado anaendelea tu kula bata kwenye jiji expensive ulimwenguni, kudamshi kama kote, halafu katulia mwenyewe hana mbwe mbwe, Sijui kapata Danga gani shoga kidawa, au usikute anakaa gheto kama mange[emoji16] hana mbele wala nyuma halafu wambea tunapata tabu bila sababu [emoji23].
Kama kapata danga kheri yake, maana shoga kidawa alichunda aiseh , siku hizi Naona kidogo ana hadhi fulani hivi ingawa kimuziki ndo basi tena
Kama kapata danga kheri yake, maana shoga kidawa alichunda aiseh , siku hizi Naona kidogo ana hadhi fulani hivi ingawa kimuziki ndo basi tena