Ray C wa sasa hadi huruma

Hiyo njia unapita hiyo mida kwa ajili ya kumuangalia ray c au inatokea tu maana mpaka maswala ya hospital unayafahamu. Wanaume wa dar kwenye ishu za umbea mpewe tuzo kwakweli.

Mkuu upo mkoa gani? Kwa umri uliona ni bora ukaacha kuandika ujinga ujinga km huu sioni tofauti yako na waimba taarabu! Umbea ni nini?km kweli wewe mdume usiengeandika huu upuuzi.
 
Anasikitisha, na mkorogo umemshinda, Maana alijibabua, kati ya watu waliosaidiwa Huyu nae alisaidiwa mno,pole yake mama yake.mbona alikuwa vizuri,kipi kilichomsibu
 
Ila kiukweli tutampoteza RAY C ...hajielewi ...anaangamia ...kuna wakati mtu kwa akili zake hawezi kujisaidia ...ASAIDIWE IKIBIDI ....
 
RAYC MWOMBE ROHO MTAKATIFU. AKUSAIDIE KUACHA HAYO MAMBO KWA AKILI ZAKO HUTAWEZA MAANA NI ROHO YA UARIBIFU IMEKUVAA,CHUKUA MISTARI (WARUMI 8:1-14) (YOHANA 14:26) (YOHANA 16:13) MAOMBI YAKO YALENGE KUOMBA UONGOZWE NA ROHO MTAKATIFU, NJE YA HAPO HUWEZI KUACHA JAMBO HILI.
 
mmh...maskini weh allah amnusuru yeye na wengine na vizazi vyetu pia....
 
Akifanya hivyo naamin Mungu ni Mwaminifu atamsaidia.
 
Mjunki wa kujidunga sindano kuacha ngada ni ngumu sana
 
Anasikitisha, na mkorogo umemshinda, Maana alijibabua, kati ya watu waliosaidiwa Huyu nae alisaidiwa mno,pole yake mama yake.mbona alikuwa vizuri,kipi kilichomsibu

Na shangaa watu kuleta mjadala wa huyu dada. Wanamsikitikia nini? Yeye mwenyewe hajipendi na wala hajihurumi.
Rais kwa mapenzi mema, alimpeleka mpaka India kutibiwa, karudi, hali iko vizuri. Leo tena karudia, tumsaidieje? Kumjadili haisadi kitu, bola kumuacha tuu, ndo maisha aliojichagulia.
 
Magari mengi yamewaka mkuu, ni hatari sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…