Ray C wa sasa hadi huruma

Ray C wa sasa hadi huruma

Mmmnh! C alikua muelimishaji huyu? Imekuaje tena... Au kakutana na bwana mtumiaji??? Pole yake...
 
Msoma umbea...na anayeandika umbea...wote wambea.......

Kijana wa mkoani uliyekuwa busy na shughuli za kilimo hasa msimuu huu wa mvua.... unakuwaje wa kwanza kuchangia uzi unaouita kuwa ni wa kimbea....???
 
Ray C akinywa Methadone kwa ukamilifu ni lazima anenepe kama alivyokuwa akionekana baada ya kuanza kunywa dawa.
Alipokunywa dawa kwa mwaka wa kwanza alionekana anaendelea vizuri kiasi cha kuonekana anaweza kumaliza tiba kwa miaka miwili.
Sasa alipokuwa kwenye mwaka wa pili ndio alipoanza kujichanganya na mateja, hasa alipofungua mgahawa wake Mwananyamala.
Yanayomtokea Ray C ni mambo ya kuumiza sana, na hataki kuwa mkweli kama alianza uteja alipoanza kuwa punda na TID, hata Lord Eyes alimkuta akiwa teja.
Na kwa bahati mbaya mara zote akianza tiba hulazimishwa, haamui mwenyewe kwa hiari yake.
Hakuna siri tena yeye teja kwa mara nyingine tangu alipoacha mazoezi na alipoanza kupungua unene wake, kwani unene ule ulikuwa wa side effects za Methadone.
Kwa hivi alivyopungua ilitokana na kurudia matumizi ya dawa za kulevya kwa mara nyingine.
Kwa msioijua hii ni mara yake ya tatu kurudia uteja na kukatiza dozi ya tiba, alishatibiwa Arusha na Nairobi.
Na mbaya zaidi mateja wenzake ndio waliompiga hizi Picha na kuziuza kwa Shigongo.
Katika hili Shigongo kaandika ukweli mtupu, coz kuna mtu wa familia ya Ray C anampa hizi habari.
Kuna mtu anaitwa Mama Derick ambaye ni mke wa kaka yake Ray C anayeishi China ndiye anayempa habari zote za Ray C.
Mama Derick anaishi hapa huku mumewe akiwa China, na uhusiano wa kimapenzi na Erick.
Kwa bahati mbaya Ray C hawaivi na huyu wifi yake, tangu walipogombana na Ray C kumtupa ndani wifi yake kwa siku mbili.
Mimi simuonei huruma tena.

Ova

Mkuu, umemaliza kila kitu,
Ova Ova.
 
Hiyo njia unapita hiyo mida kwa ajili ya kumuangalia ray c au inatokea tu maana mpaka maswala ya hospital unayafahamu. Wanaume wa dar kwenye ishu za umbea mpewe tuzo kwakweli.

Pole sana. Mzazi wako anajua ana mtoto wa kiume. BTW huku Dsm wafanyakazi wa wizara ya elimu kila siku wanajionea rais anavoingia na kutoka pale Magogoni. Wee msubiri akija ziara shamba au mbugani kutalii!
 
Habari wakuu.
Dah nimeona hizi picha za ray c zimenisikitisha sana hivi hii kitu ina nini mbona inakuwa ngumu kuacha ...daaah maskini Ray C[emoji26] [emoji26]
675a9b1cc827ca3d503208cc080be471.jpg
ac6a94cc32126a256890ac6a23fbedd7.jpg
f9e6bfeda18dd45ceb9acc81fe164d1c.jpg
Yesu njoo Tu, dunia imetushinda huku
 
Habari wakuu.
Dah nimeona hizi picha za ray c zimenisikitisha sana hivi hii kitu ina nini mbona inakuwa ngumu kuacha ...daaah maskini Ray C[emoji26] [emoji26]
675a9b1cc827ca3d503208cc080be471.jpg
ac6a94cc32126a256890ac6a23fbedd7.jpg
f9e6bfeda18dd45ceb9acc81fe164d1c.jpg
Mungu pitishia mbali huu upepo katika kizazi changu
 
Hiyo njia unapita hiyo mida kwa ajili ya kumuangalia ray c au inatokea tu maana mpaka maswala ya hospital unayafahamu. Wanaume wa dar kwenye ishu za umbea mpewe tuzo kwakweli.
Na nyie wa mashambani MNA matatizo, huku kwenye Uzi huu kimewaleta nini kama hamko interested na kupata news za Dar?
 
Kachagua mwenyewe. ..angekuwa analishwa ngada na mtu. ..hapo ningesikitika.

Ndio madhara ya kuwa na jina kubwa alafu dili/hela inapiga chenga wanapata STRESS..wanabugia ngada.

Hii kitu itaendelea kuwasumbua hao wasanii wapiga picha na magari, nyumba na vitu vya watu.
 
Hiyo methodone haiwezi kumtibu mtu akaacha, maana ni kama mbadala wa huo unga, akipata hiyo dawa mwili unapoa kama kala unga, dawa ikiisha inataka tena dawa so inakuwa dawa baada ya dawa akikosa anakuwa na arosto mbaya sana, tiba sahihi kwa Ray c ni kumpeleka rehab akakae huko bila dawa bila unga arost zote ziishe mwilini, apatiwe elimu ya kuacha kabisa hayo madawa dnio itakuwa pona yake.
 
Back
Top Bottom