donpier91
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 440
- 368
MgogoHivi huyu kaka ni MSANDAWE, MRANGI au MGOGO!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MgogoHivi huyu kaka ni MSANDAWE, MRANGI au MGOGO!!!!!
[emoji3][emoji3] [emoji3] [emoji3]basi sie wa kanda maalum na ya pekee kwa mikoani tutakuwa na shida sana bila kujijua
Sana mkuuKwa akili hizi za Ray, hakika Tanzania , serikali bado ina kazi ya ziada hata kama kila familia itajengewa kiwanda.
Edward Lowasa, 2015,,, "Elimu, elimu elimu"
Elimu kwa watanzania walio wengi bado inahitajika sana.
HahahahaKwahivyo shida zikianza ata kama wewe ni mweupe unakuwa mweusi automatically? Nchi imebarikiwa vijana wenye vipaji vya ujinga
Dah, umeua mkuu [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kwahivyo shida zikianza ata kama wewe ni mweupe unakuwa mweusi automatically? Nchi imebarikiwa vijana wenye vipaji vya ujinga
Msambaa
Ni ushamba shamba wa kisambaaTyrone mofekeng ,
Mkuu, acha kulinganisha vitu vya kijana na wasambaa.
Ray, labda ametokea sayari ya Mars.
Yaani, haelewi kinachoendelea kwenye huu ulimwengu wa Biolojia bali yeye anachojua ni kuweka dawa kwenye nywele kama Lulu , kuweka way, na kujipodoa na kukaa na taulo la kudekia uso.
Aache uzwazwa wa kujichora USO na nywele.
Kuna tafauti kati ya kuwa mweupr na kutakata.hata mie nkiendaga ulaya nikakaa kidogo nikirudi bongo kila mtu anasema nimeng'aa,kutaka hakubadilishi rangi ya ngozi kunakupa tu un'gaavu.He has a point. Mimi ni mweusi ila kuna wiki nilikaa arusha kwenye hoteil ya kifahar. Sababu kule ni baridi. Nilikuwa nikioga maji ya moto tu. Nikajkuta naoga mara mbili had tatu kwa siku. Kurudi kwetu usukmani kla mtu akaanza nishangaa na kudhani labda nimejichubua.
Kusema ukweli nilikuwa hendsome ni hatari mpaka nlpata night stand pale singida ya wtoto wakal hta ckuwai fikiria. Nililala na wadada wawili kwa pmja
Chai kavuHe has a point. Mimi ni mweusi ila kuna wiki nilikaa arusha kwenye hoteil ya kifahar. Sababu kule ni baridi. Nilikuwa nikioga maji ya moto tu. Nikajkuta naoga mara mbili had tatu kwa siku. Kurudi kwetu usukmani kla mtu akaanza nishangaa na kudhani labda nimejichubua.
Kusema ukweli nilikuwa hendsome ni hatari mpaka nlpata night stand pale singida ya wtoto wakal hta ckuwai fikiria. Nililala na wadada wawili kwa pmja
DuuuhHe has a point. Mimi ni mweusi ila kuna wiki nilikaa arusha kwenye hoteil ya kifahar. Sababu kule ni baridi. Nilikuwa nikioga maji ya moto tu. Nikajkuta naoga mara mbili had tatu kwa siku. Kurudi kwetu usukmani kla mtu akaanza nishangaa na kudhani labda nimejichubua.
Kusema ukweli nilikuwa hendsome ni hatari mpaka nlpata night stand pale singida ya wtoto wakal hta ckuwai fikiria. Nililala na wadada wawili kwa pmja
Huna lolote we unataka tujue nawe ushakaaga hotel ya kifahari your still blackHe has a point. Mimi ni mweusi ila kuna wiki nilikaa arusha kwenye hoteil ya kifahar. Sababu kule ni baridi. Nilikuwa nikioga maji ya moto tu. Nikajkuta naoga mara mbili had tatu kwa siku. Kurudi kwetu usukmani kla mtu akaanza nishangaa na kudhani labda nimejichubua.
Kusema ukweli nilikuwa hendsome ni hatari mpaka nlpata night stand pale singida ya wtoto wakal hta ckuwai fikiria. Nililala na wadada wawili kwa pmja
Kwa hiyo mwenye weusi wa asili asiye na shida siku akitumbukia shidani anakuwa wa bluu au kijani?Ray, mwisho atasema watu wanakuwa weusi kwa sababu hawana michepuko.
Alianza na kusema kuwa kunywa maji mengi ndiyo siri ya rangi yake kubadilika na kuwa hiyo light skin color.
Leo, kaja na ngojera za kuwa mtu kuwa mweusi ni kwa sababu ya matatizo (Sijui umaskini na kukosa fedha)
Laiti kama , Ray, angeenda pale Tarime, aulizie tajiri wa vituo vya mafuta, depots za bia na soda pamoja na mabasi ya Zacharia Express , aitwaye "Mhe.Peter Zacharia"
Hakika, Ray, angetengua kauli yake hiyo leo ii hii, ila sasa kwa sababu elimu yake ni zero basi acha azidi kuonesha ukilaza wake mbele hadi ya wanae.
Mkuu umenichekesha sanaNi kweli, mimi zamani nilivyokuwa mambo safi nilikuwa mzungu kabisa, yaani yule mzungu How are you kabisa wala sio utani. Lakini tangu Magu aingie sasa nimebadilika nimekuwa mwafrika kabisa. Usishangae hata Trump akifulia akaanza kuongea Kisukuma.
Hivi mbona kawa mweusibtena au anyways maji mengiNi kweli ukiwa na unatafuta Pesa kwa jasho ngozi inakosa Nuru.., Pamoja na yote yeye amejichubua!!!