[emoji3] [emoji3] [emoji3]halafu wewe ray mambo yakujiita the greatest uache!!
we ujiite the greatest kwa muvi gani hasa? au huko kusema neno pumbaaavuu kila movi.
kama wewe the greatest sasa akina denzel au kiefer sutherland a.k.a jack buer wajiitaje? maana hawa muvi zao zapendwa dunia nzima wakati ww hata hapo Uganda Hawakutambui
Achana na makala. Bongo movie chenga. Limebaki jina. Hakuna anayeangalia uchafu huo sasa.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ray ametoa
ujumbe ambao unalenga kutoa uelewa kwa
mashabiki hasa wa filamu na muziki nchini
ambao wamekuwa wakiponda juhudi za mastaa wa Kitanzania
Huku akitolea mfano wa Kanumba na Diamond platnumz
Ray Kigosi ameandika…
1. Kanumba alipoanza kuona mwanga wa
kufanikiwa bila kujali juhudi zake kuna watu
walimuita Freemanson, Mara anatumia nguvu za
Giza. that is to say films zake hazikuwa nzuri
but ziliuza sababu ya nguvu za Freemanson na
nguvu za giza!!
2. Kanumba alipoenda Big Brother alipondwa
Sana na kuitwa bogus kwa Madai hajui
kiingereza, Ni watanzania Hawa Hawa
walibebea bango hili huku baadhi ya waandishi
uchwara wakieneza ujinga huu bila kujali juhudi
zake. But Leo wanamsifia hakuna Kama
Kanumba!
3. Kuna wakati Kanumba alionekana wazi
kuvunjwa moyo na kukatishwa tamaa kwa
kuonekana juhudi zake si kitu. But Alisema
maneno machache Kuwa mtanikumbuka kama si
Leo basi Ni Kesho.
And alichosema kimetimia, wale wale
waliokuwa wakisema Ni Freemanson bila hata
kujali juhudi zake kwenye game Leo ndio kwa
unafiki wanasema hakuna Kama Kanumba !…..
HAO NDIO BINADAMU NA TABIA ZAO
Je Kanumba kaondoka na Bongo Movie yake ya
Freemanson ? Kama wengine mnavyodhani
industry Ni Mtu sio system !
4. Diamond Platnumz nae baada ya kuona Njia
ya mafanikio kuna watanzania, wasanii
wenzake na hata baadhi ya wanahabari
wanasema Ni Freemanson, wengine
wanaonyesha chuki ya wazi kwake. Wanasema
Hana muziki mzuri, Mara Ni Kiki tu ambazo
hata Kanumba alikuwa akiripotiwa magazetini
na kina Wema.
Hawaoni juhudi na thamani ya Diamond sasa !
Hatuombi baya limpate Diamond ili kudhibitisha
tabia na unafiki wa binadamu. But HAO NDIO
BINADAMU siku zote hawana Jema unafiki ni
sehemu ya Maisha.
5. kila siku Ni kuzua hii na kile, Mara ooh
Diamond Ni mchawi, kasema mleteni huyo
mganga wangu mkashindwa kumleta,
akajitokeza mganga fake sijui na Madai juu
Kuwa Diamond atashuka kimuziki kwa sababu
ananipuuza niliyempa nyota, Diamond akasema
sawa namtegemea Mungu. Miaka 4 sasa tangu
yaliyoitwa ya mganga Diamond hashuki ndio
anazidi kupaa. HAO NDIO BINADAMU kusema
lolote Ni haki Yao.
Kazi za Kanumba sasa zinapewa thamani na
ubora uliovuka mipaka na viwango ambao
hakupewa kipindi yupo hai ! HAO NDIO
BINADAMU na tabia zao. Ni tabia tu ya baadhi
ya watu kubebea mabango mabaya ya Mtu au
uzushi na kuacha mazuri yake then baadaye
wakishikwa Uchawi wanageuza walichoamini Ni
nyeusi kiwe nye.
View attachment 501515
View attachment 501518
Hah hahaha huu ndio unafiki tunaousema, Akitokea mange kaandikia kutokea insta muna mquote na kuifanya hoja ya msingi, wengine wakileta munaita ujinga duh!Upumbavu wa Insta ni vizuri ukabaki hkohko.....
Anzisha uzi badala ya kutumia uzi wa bongo movie kutoa yanayokubana moyoni.Huhitaji kumfahamu ni nani bali ujumbe wa kweli umefika japo simfahamu na siangalii movie zake lakini alichokisema ni cha kweli. Mimi nitaenda mbali hata Lowasa tulimuita FISADI lakini baadhi yetu wanamuona LOWASA yuleyule ambaye hajafanya lolote lile la kujisafisha na huo uliosemwa UFISADI leo tunasema ni rais wa mioyo....Na hata Magufuli tunayemsema hajui kiingereza akimaliza muda wake tutamshangilia pia hapo ndipo ubaya wa TAIFA lilojaa wanafiki kila kona utakapoliona...........
Huyu jamaa inaonekana anatongoza,ila cheki alivyosimama kama yupo kwenye gwaride.
ray alikupiga kibuti nini naona unaongea kwa chuki sanahalafu wewe ray mambo yakujiita the greatest uache!!
we ujiite the greatest kwa muvi gani hasa? au huko kusema neno pumbaaavuu kila movi.
kama wewe the greatest sasa akina denzel au kiefer sutherland a.k.a jack buer wajiitaje? maana hawa muvi zao zapendwa dunia nzima wakati ww hata hapo Uganda Hawakutambui
Aliyosema ni kweli lakini bongo movie mh mh hamna haifai. Kwa upande mwingine wasanii wanaofanya vizuri wanapitia mengi mpaka kufikia mafanikio.Wanapita pengi na vitendo vyao vinaashiria mengi ndio maana wanafikiwa kuhisiwa wako freemason.Unakuta msanii anakuwa na urafiki na mwanachama anaehusika na Freemason huku wote wakionyesha ishara zilizo ktk alama zinazotumika Freemason pengine kwa kujua Ama kutokujua.Lady JD na mafanikio yake hajawahi kuhusishwa na watu hao kwa kuwa hana Uhusiano na wanachama hao.Juzi sijui msanii nani,harmorapa alijiita mwanamke shupavu kwa kingereza bila kujua sasa akipondwa Hajui lugha hiyo ni uwongo?.Kanumba alijizolea umaarufu kwenye maigizo kiasi kwamba hata alipoanza filamu alibaki na umaarufu japo baadhi ya filamu zake zilikuwa na makosa na makosa hayo na vile alivyokuwa anaenda yangeishaKweli kabisa ley, hata juzi tuliona baadhi ya wabunge waliokuwa wakimponda kikwete wakimshangilia bungeni na kutamka tumekumiss, lkn ndo waliosema serikari ya jk legelege,dhaifu,wa nataka rais wakuinyoosha nchi, Nikweli binadam mmoja ana roho saba. Bongo move simamieni na kudai haki yenu kwani haki haiombwi ila hudaiwa.