Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ray ametoa
ujumbe ambao unalenga kutoa uelewa kwa
mashabiki hasa wa filamu na muziki nchini
ambao wamekuwa wakiponda juhudi za mastaa wa Kitanzania
Huku akitolea mfano wa Kanumba na Diamond platnumz
Ray Kigosi ameandika…
1. Kanumba alipoanza kuona mwanga wa
kufanikiwa bila kujali juhudi zake kuna watu
walimuita Freemanson, Mara anatumia nguvu za
Giza. that is to say films zake hazikuwa nzuri
but ziliuza sababu ya nguvu za Freemanson na
nguvu za giza!!
2. Kanumba alipoenda Big Brother alipondwa
Sana na kuitwa bogus kwa Madai hajui
kiingereza, Ni watanzania Hawa Hawa
walibebea bango hili huku baadhi ya waandishi
uchwara wakieneza ujinga huu bila kujali juhudi
zake. But Leo wanamsifia hakuna Kama
Kanumba!
3. Kuna wakati Kanumba alionekana wazi
kuvunjwa moyo na kukatishwa tamaa kwa
kuonekana juhudi zake si kitu. But Alisema
maneno machache Kuwa mtanikumbuka kama si
Leo basi Ni Kesho.
And alichosema kimetimia, wale wale
waliokuwa wakisema Ni Freemanson bila hata
kujali juhudi zake kwenye game Leo ndio kwa
unafiki wanasema hakuna Kama Kanumba !…..
HAO NDIO BINADAMU NA TABIA ZAO
Je Kanumba kaondoka na Bongo Movie yake ya
Freemanson ? Kama wengine mnavyodhani
industry Ni Mtu sio system !
4. Diamond Platnumz nae baada ya kuona Njia
ya mafanikio kuna watanzania, wasanii
wenzake na hata baadhi ya wanahabari
wanasema Ni Freemanson, wengine
wanaonyesha chuki ya wazi kwake. Wanasema
Hana muziki mzuri, Mara Ni Kiki tu ambazo
hata Kanumba alikuwa akiripotiwa magazetini
na kina Wema.
Hawaoni juhudi na thamani ya Diamond sasa !
Hatuombi baya limpate Diamond ili kudhibitisha
tabia na unafiki wa binadamu. But HAO NDIO
BINADAMU siku zote hawana Jema unafiki ni
sehemu ya Maisha.
5. kila siku Ni kuzua hii na kile, Mara ooh
Diamond Ni mchawi, kasema mleteni huyo
mganga wangu mkashindwa kumleta,
akajitokeza mganga fake sijui na Madai juu
Kuwa Diamond atashuka kimuziki kwa sababu
ananipuuza niliyempa nyota, Diamond akasema
sawa namtegemea Mungu. Miaka 4 sasa tangu
yaliyoitwa ya mganga Diamond hashuki ndio
anazidi kupaa. HAO NDIO BINADAMU kusema
lolote Ni haki Yao.
Kazi za Kanumba sasa zinapewa thamani na
ubora uliovuka mipaka na viwango ambao
hakupewa kipindi yupo hai ! HAO NDIO
BINADAMU na tabia zao. Ni tabia tu ya baadhi
ya watu kubebea mabango mabaya ya Mtu au
uzushi na kuacha mazuri yake then baadaye
wakishikwa Uchawi wanageuza walichoamini Ni
nyeusi kiwe nye.
View attachment 501515
View attachment 501518