Ray Kigosi: Huu ni weupe wa maji (Ununuzi wa maji waongezeka mjini)

Bila shaka na hizo nywele zmebadilika kwa kula matunda na siyo easy wave
 
Movie zote wanakopi na ku_paste kutoka Nigeria hawajui kipi cha kukopi na kipi cha kuacha
 
Umeongea vyema ila si kwa hali hii
Hata mimi nakubaliana nae weupe wake ni matokeo ya kunywa maji sana na si mkorogo.
 
Nimeshangazwa yangu jana watu walivyobusy kujadili suala la weupe wa Ray na kuacha mambo yote muhimu. Tusipobadilika mapema tutaendelea kubaki hapahapa hata angekuja mtu gani kutuongoza.
 
Watu gani hao wanaojadili nadhani?na wewe ni mpenzi wa habari hizo ndiyo maana unazipata...Mimi sijui hata ni wapi nitapata kuona ama kusikia habari ya huyo anaeitwa Ray...
 
Watu gani hao wanaojadili nadhani?na wewe ni mpenzi wa habari hizo ndiyo maana unazipata...Mimi sijui hata ni wapi nitapata kuona ama kusikia habari ya huyo anaeitwa Ray...
Ndugu we utakuwa unatumia JF tu
 
Rey ndio nani? Sehemu gani walipojadili? Hebu nitag kwenye hyo thread
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…